Habari wakuu
Kisa ninachosimulia kimenitokea leo hii, nimeenda sehm kumfanya shopping ya vitu vidogo vidogo. Nikapita se kuna maduka mawili , nikaingia la Kwanza nikanua vitu ninavyoovihitaji.
Baadae nikatamani sana niweze kununua vitu kwenye Duka dogo la pili, lengo likiwa ni kugawiana riziki Tu, ili angalau hata huyu WA pili nimungushe kidogo.
Kitu nisichokifahamu ni kwamba kumbe MTU mme na make wa duka la pili yeye na make wake wamechukia kwa nini ninunue vitu kwenye Duka la Kwanza, nilihisi hivyo baada ya kuona reaction zao.
Nikiwa naweweseka,natamanj niondoke, ndani natamani kununua pale Duka la pili, lengo likiwa kuwauungisha WA dula la pili .Gafla napokea maneno kwamba wewe kwanini unaweweseka huku mara Kule?Hee, mara mke anadakia hivi wewe umezaliwa na Baba Au mama? I was shocked kusikia maneno kama hayo kutoka Kwa MTU ambaye hata hanijui nimetoka wapi.
Serious watanzania tupo hivi?
Je, kosa langu ni Ile kurudi dukani kwake na kuangalia bidhaa ili angalau ninunue kwake, sometime MTU unaamua kununua vitu, si Kwa kwamba unavihitaji lkn ni namna pia ya kusaidiana na kusuppotiana.
Watanzania tubadirike, tuheshimiane, heshimu mtu yoyote hata kama humjui. Wengi wetu tunapowajua watu ndipo hujinyenyekesha na kuwapa kila aina ya heshima uchwara. This is so stupid.
Kisa ninachosimulia kimenitokea leo hii, nimeenda sehm kumfanya shopping ya vitu vidogo vidogo. Nikapita se kuna maduka mawili , nikaingia la Kwanza nikanua vitu ninavyoovihitaji.
Baadae nikatamani sana niweze kununua vitu kwenye Duka dogo la pili, lengo likiwa ni kugawiana riziki Tu, ili angalau hata huyu WA pili nimungushe kidogo.
Kitu nisichokifahamu ni kwamba kumbe MTU mme na make wa duka la pili yeye na make wake wamechukia kwa nini ninunue vitu kwenye Duka la Kwanza, nilihisi hivyo baada ya kuona reaction zao.
Nikiwa naweweseka,natamanj niondoke, ndani natamani kununua pale Duka la pili, lengo likiwa kuwauungisha WA dula la pili .Gafla napokea maneno kwamba wewe kwanini unaweweseka huku mara Kule?Hee, mara mke anadakia hivi wewe umezaliwa na Baba Au mama? I was shocked kusikia maneno kama hayo kutoka Kwa MTU ambaye hata hanijui nimetoka wapi.
Serious watanzania tupo hivi?
Je, kosa langu ni Ile kurudi dukani kwake na kuangalia bidhaa ili angalau ninunue kwake, sometime MTU unaamua kununua vitu, si Kwa kwamba unavihitaji lkn ni namna pia ya kusaidiana na kusuppotiana.
Watanzania tubadirike, tuheshimiane, heshimu mtu yoyote hata kama humjui. Wengi wetu tunapowajua watu ndipo hujinyenyekesha na kuwapa kila aina ya heshima uchwara. This is so stupid.