KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,797
- 86,565
Hii nchi tunavyoishi ni kama vile hakuna mabadiriko!, hata kama yapo basi yanaenda kama kobe kitu ambacho si halali!.
Pesa serikalini zinapigwa lakini bado kuna watu mnaishangilia serikali, badilikeni acheni mazoea hizo ni nguvu zenu zinatumika na wachache!.
Miaka 60 ya uhuru lkn bado wanafunzi wanakaa chini na bado mnaichekea serikali tena mnapiga mapambio na wimbo wenu wa mitano tena!.
Mpaka leo bado watu tunalia umeme na maji haya ni mazoea mabovu sana!, tunavyozidi kuchekea ndio matatizo yanaongezeka!. yani nchi ya kwetu wote lakini tunavyoishi kana kwamba kila mtu atajujua kivyake!.. kuna vitu vya mtu kivyake na kuna vitu vya kijamii sasa vitu vya kijamii havitakiwi kuchekewa hovyo!.
we need to be serious guys!
Mataifa ya wengine wanajiangalia wao kwanza ndo wanaangalia mataifa mengine!. Haiwezekani kila siku tukae tunaishi kwa kutegemea mpaka aje kiongozi mmoja mkali ndo ayakemee haya madudu!, huyo kiongozi mkali hata akija ni ngumu kupambana na majizi yaliyomzunguka yatafanya chochote yampoteze!.
Muhimu ni sisi wenyewe kutokukubali upuuzi,ulaghai, kutochekea mambo ya hovyo, kuhoji nakufatilia kodi zetu hii ni haki yetu maana hatukai bure sisi sio wakimbizi kwenye nchi yetu tuna kila haki, uhuru.. shida tunawaachia wachache.
Kama viongozi na serikali hawataki kubadirika ili kutuletea tija ktk nchi basi kwa pamoja tuwabadirishe wao!, hatuwezi tukakaa tu tunavumilia madudu yanayotuuma kila mahali!..
nchi hii gharama za kila kitu huwa zinapanda hazijawahi kushuka haijalishi uzalishaji umeongezeka ama lah!, huu ni ukiritimba!.
Uhuru tulioupata mwaka 1961, Ulikuwa ni kutukwamua dhidi ya wakoloni ili tujiletee maendeleo yetu binafsi!, sasa uhuru huo kama upo halafu maendeleo hakuna hiyo ni sawa na kuunajisi uhuru huo!.
acheni kubabaika na visukari na chumvi na hizo hamsini, ukipambana vyema ngazi ya uongozi ikakaa katika haki unaweza kuingiza pesa nzuri tu ukaachana na hivyo vikanga vyakupewa kila baada ya miaka mitano!.
Tusiwe mazwazwa yakuchekea vitu vya hovyo, semi za hovyo iwe ni chama chochote cha siasa kikishafikia dola kinatakiwa kiwe serious na matakwa ya nchi na wananchi ni sisi ndo tunaamua kudekeza ama kutodekeza tubadilike!.
Pesa serikalini zinapigwa lakini bado kuna watu mnaishangilia serikali, badilikeni acheni mazoea hizo ni nguvu zenu zinatumika na wachache!.
Miaka 60 ya uhuru lkn bado wanafunzi wanakaa chini na bado mnaichekea serikali tena mnapiga mapambio na wimbo wenu wa mitano tena!.
Mpaka leo bado watu tunalia umeme na maji haya ni mazoea mabovu sana!, tunavyozidi kuchekea ndio matatizo yanaongezeka!. yani nchi ya kwetu wote lakini tunavyoishi kana kwamba kila mtu atajujua kivyake!.. kuna vitu vya mtu kivyake na kuna vitu vya kijamii sasa vitu vya kijamii havitakiwi kuchekewa hovyo!.
we need to be serious guys!
Mataifa ya wengine wanajiangalia wao kwanza ndo wanaangalia mataifa mengine!. Haiwezekani kila siku tukae tunaishi kwa kutegemea mpaka aje kiongozi mmoja mkali ndo ayakemee haya madudu!, huyo kiongozi mkali hata akija ni ngumu kupambana na majizi yaliyomzunguka yatafanya chochote yampoteze!.
Muhimu ni sisi wenyewe kutokukubali upuuzi,ulaghai, kutochekea mambo ya hovyo, kuhoji nakufatilia kodi zetu hii ni haki yetu maana hatukai bure sisi sio wakimbizi kwenye nchi yetu tuna kila haki, uhuru.. shida tunawaachia wachache.
Kama viongozi na serikali hawataki kubadirika ili kutuletea tija ktk nchi basi kwa pamoja tuwabadirishe wao!, hatuwezi tukakaa tu tunavumilia madudu yanayotuuma kila mahali!..
nchi hii gharama za kila kitu huwa zinapanda hazijawahi kushuka haijalishi uzalishaji umeongezeka ama lah!, huu ni ukiritimba!.
Uhuru tulioupata mwaka 1961, Ulikuwa ni kutukwamua dhidi ya wakoloni ili tujiletee maendeleo yetu binafsi!, sasa uhuru huo kama upo halafu maendeleo hakuna hiyo ni sawa na kuunajisi uhuru huo!.
acheni kubabaika na visukari na chumvi na hizo hamsini, ukipambana vyema ngazi ya uongozi ikakaa katika haki unaweza kuingiza pesa nzuri tu ukaachana na hivyo vikanga vyakupewa kila baada ya miaka mitano!.
Tusiwe mazwazwa yakuchekea vitu vya hovyo, semi za hovyo iwe ni chama chochote cha siasa kikishafikia dola kinatakiwa kiwe serious na matakwa ya nchi na wananchi ni sisi ndo tunaamua kudekeza ama kutodekeza tubadilike!.