Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,646
- 52,479
- Thread starter
-
- #41
Akili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili mbovu zinaongelea watu.
Labda nijibu kwaniaba, tetesi za kifo zilianza kabla ya taarifa rasmi (taarifa rasmi inatoka usiku ule saa 5 tano ile nakumbuka wengi kila mtu alikua anasema kumbe ni kweli kumbe ni kweli)Ukweli upi ambao utakuwa Wazi?
Kwa nini unahisi kuna ukweli umefichwa?
Nakumbuka ile mada yako ukijaribu kueleza namna mzee alivyo ondoka. Na ulisema kifua sijui kilibana akashindwa kupumua vizuri akaanguka n.k unaikumbuka? Wengine bado tunaikumbuka
Nakumbuka ile mada yako ukijaribu kueleza namna mzee alivyo ondoka. Na ulisema kifua sijui kilibana akashindwa kupumua vizuri akaanguka n.k unaikumbuka? Wengine bado tunaikumbuka
Na wewe ni walewale sasa 😁😁Nakumbuka
Muanzilishi wa hili alikuwa Lisu ambaye tunajua walijikuta katika uhasimu wa level ya juu kabisa.Labda nijibu kwaniaba, tetesi za kifo zilianza kabla ya taarifa rasmi (taarifa rasmi inatoka usiku ule saa 5 tano ile nakumbuka wengi kila mtu alikua anasema kumbe ni kweli kumbe ni kweli)
Mimi naamini ni siasa tuuHii si ya muhimu sana, cha muhimu cha kustua kwamba kuna mambo yalienda ndivyo sivyo ni ule uvumi kwamba kuna watu wanadhibiti samia asishike madaraka ni uvumi ulikua kabla ya Raisi Samia kuapishwa, sasa interview ya Mabeyo nayeye kaweka wazi kuwa kuna watu walisahau katiba inasema nini,
Kwa paragraph ya pili ni wazi kua kuna mambo yalifichwa fichwa na bado yanafichwa, tuwaombee viongozi wetu waje kuandika vitabu maana na wao hua wanatoaga hints kadhaa
Na wewe ni walewale sasa 😁😁
Mtanzania mpe habari mwambie sehemu flani mtu kajinyonga na sababu haijajulikana yeye atakupa majibu kuwa kajinyonga kwasababu ya mapenzi
Mwambie tajiri flani watoto wake wawili wamefariki atakwambia kawatoa kafara
Aise....Huwezi washughulikia Watu kama kina Kigogo na Mange Wakati huna chakula cha kuwapa Watu wapenda Udaku.
Udaku unasaidia pia kuwa-keep busy Watu wasio na kazi ili wasiwaze mambo ya msingi kama katiba na nchi yao
Aise....
Ngoja tuzidi kuwekeza kwenye maujinga tuwakeap bize wale watu 😄
Ova
Umejiondoa kwenye kichwa cha habariSasa kwani mimi sio mtanzania? Au kisa ninajiita Mtibeli?😀
Umejiondoa kwenye kichwa cha habari
Shida si nani muanzilishi, labda shida ni waliopenyeza taarifa za kifo (watu wa ndani),Muanzilishi wa hili alikuwa Lisu ambaye tunajua walijikuta katika uhasimu wa level ya juu kabisa.
Hii ilikuwa mara ya pili kwa jambo hili kutokea.
Mimi naamini ni siasa tuu
Mwanasiasa ataandika kitabu chake kisiasa. Hakuna jipya.
Raha ya kitabu kiandikwe na mtu mwingine ambaye hatakuwa biased
Unfortunately ninakubaliana na wewe 100%Kwema Wakuu!
Jadili Chozi la CDF Mstaafu Mabeyo litolee ufafanuzi kana kwamba unajua alichokuwa anafikiri. Fafanua na elezea tabasamu na kila cheki lake na maana iliyojificha. Kwa kina onyesha jinsi body language yake inavyokinzana na anachozungumzia, hakikisha unaeleza uongo mtamumtamu unaopatana na akili za Watanzania kuhusu habari zilizofichwa ambazo watanzania wengi hata kabla hawajaambiwa huwa na hizo habari akilini.
Watanzania wanapenda assumption, imagination, fiction stories, ndio maana ukiwa mbobevu kwenye hayo mambo kwa hapa Tanzania lazima utoboe. Wachungaji wa kileo wengi washasoma saikolojia ya Watanzania, wanasiasa, waganga, biashara ya michezo ya kubahatisha itazidi kustawi na kushamiri kutokana fikra za Watanzania.
Ukishakuwa Star Tanzania ni rahisi kuwaendesha Watanzania vile unavyotaka. Unaweza ukawapa cha kuzungumza wakakizungumza mwezi mzima.
Mange Kimambi, Kigogo kigogo, ni miongoni mwa Watu walioweza kutumia fikra za Watanzania.
Tanzania unaweza ukavaa tuu nguo yenye fuvu la kichwa au pete yenye fuvu la kichwa na ukishakuwa na pesa ya kubadilisha mboga utatungiwa stori za uzushi mara wewe Freemasonry mara sijui kitu gani. Watanzania hawapendi Ukweli. Na ukiwa umesimama mbele ya mtu unayemjua ni Mtanzania hata kama una ukweli wa jambo usimwambie kwa sababu hatakuamini. Mtanzania ni rahisi kuamini uzushi na udaku kuliko kuamini UKWELI.
Hata hivyo haishangazi kwa sababu ukweli mara nyingi(sio zote) Hauna Faida, na Pia ukweli kikawaida unakatili sana. Ukweli ni uhalisia. Na mwanadamu hasa Mtanzania hapendi Uhalisia (ukweli).
Mimi nimemaliza.
Shida si nani muanzilishi, labda shida ni waliopenyeza taarifa za kifo (watu wa ndani),
kwamba siasa anafanya mabeyo?
Muda utaeleza, MtibeliJpm sio mara ya kwanza kusemwa amekufa. Ile ilikuwa mara ya pili. Ya kwanza alitamka Zitto. Ikawa ni uongo.
Ukishakuwa Unazungumzia viongozi wakuu kama Rais lazima siasa uitumie utake usitake. Hivyo Mabeyo hawezi kukwepa hilo.
Mkuu bado hujamalizaKwema Wakuu!
Jadili Chozi la CDF Mstaafu Mabeyo litolee ufafanuzi kana kwamba unajua alichokuwa anafikiri. Fafanua na elezea tabasamu na kila cheki lake na maana iliyojificha. Kwa kina onyesha jinsi body language yake inavyokinzana na anachozungumzia, hakikisha unaeleza uongo mtamumtamu unaopatana na akili za Watanzania kuhusu habari zilizofichwa ambazo watanzania wengi hata kabla hawajaambiwa huwa na hizo habari akilini.
Watanzania wanapenda assumption, imagination, fiction stories, ndio maana ukiwa mbobevu kwenye hayo mambo kwa hapa Tanzania lazima utoboe. Wachungaji wa kileo wengi washasoma saikolojia ya Watanzania, wanasiasa, waganga, biashara ya michezo ya kubahatisha itazidi kustawi na kushamiri kutokana fikra za Watanzania.
Ukishakuwa Star Tanzania ni rahisi kuwaendesha Watanzania vile unavyotaka. Unaweza ukawapa cha kuzungumza wakakizungumza mwezi mzima.
Mange Kimambi, Kigogo kigogo, ni miongoni mwa Watu walioweza kutumia fikra za Watanzania.
Tanzania unaweza ukavaa tuu nguo yenye fuvu la kichwa au pete yenye fuvu la kichwa na ukishakuwa na pesa ya kubadilisha mboga utatungiwa stori za uzushi mara wewe Freemasonry mara sijui kitu gani. Watanzania hawapendi Ukweli. Na ukiwa umesimama mbele ya mtu unayemjua ni Mtanzania hata kama una ukweli wa jambo usimwambie kwa sababu hatakuamini. Mtanzania ni rahisi kuamini uzushi na udaku kuliko kuamini UKWELI.
Hata hivyo haishangazi kwa sababu ukweli mara nyingi(sio zote) Hauna Faida, na Pia ukweli kikawaida unakatili sana. Ukweli ni uhalisia. Na mwanadamu hasa Mtanzania hapendi Uhalisia (ukweli).
Mimi nimemaliza.