Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,321
- 201,543
Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Vigezo vya kudhibitisha viko wapi?Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Weka huo utafiti hapa au toa link, otherwise, una mtindio wa ubongo.Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Na pia UKWEPAJI KODI, kawaulize NHC kuhusu wakwepa kodi mapapa, mzee wa kubadili gia yupo kwenye list juu kabisa.Tunaongoza kwenye unafiki, uongo, majungu, udokozi, Wizi wa Mali za umma, rushwa mpaka bungeni n.k.
Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Nikweli kabisa mkuu,,sisi watanzania tupo radhi kumshabikia mzungu kavaa chupi tu na tukamkosoa mwafrika alie vaa sutiUtafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Kama Cole williams!Tunaongoza kwenye unafiki, uongo, majungu, udokozi, Wizi wa Mali za umma, rushwa mpaka bungeni n.k.
njaa kaliUtafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.