mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,514
- 6,070
watanzania sijui ni kutokujitambua au kutojali, asilimia kubwa ya watanzania hawazingatiii sana na hukuti wakijisumbua kuhangaikia au kuhoji mambo ya msingi yanayobeba mstakhabari wa maisha yao na taifa lao.
Mambo wanayoyapa kipaumbele ni umbea, sijui jux kafanya ni kwenye harusi, mara Mo anamiliki Mali za urithi, mara mwijaku anagombaniwa na madent wa wapi siju na unakuta watu wako busy kubishana mambo kama hayo!
Mara nyingi mada zote zinazohusu mageuzi ya kimaendeleo katika taifa huwezi kuona watu wakihangaika nayo, mathalani viwanda, Mwl. Nyerere aliacha karibia kila mkoa una kiwanda but now days vimekufa vyote , na huwezi kuta watanzania wanakaa na kuhoji kama taifa mustakhabali wa viwanda hivyo, kwa nini vilikufa? Kwa nini visifufuliwe nk, badala yake , umbea kila mahali
Billions to tillions of money zinapotea, ufisadi kila mahali, lakini tunajikuta tunapuuza tu , puuuza mpaka dunia inatupuuza na yenyewe huku kipaumbele chetu ni simba na yanga , huku bifu la diamond na alikiba ndiyo vitu vinavyoongoza kujadilika, upuuzi mtupu kila mahali
Hili Taifa tusipobadilika tutafika mwisho wa safari tukiwa tumechoka sana bila wenyewe kujua kuwa tumechoka
Mambo wanayoyapa kipaumbele ni umbea, sijui jux kafanya ni kwenye harusi, mara Mo anamiliki Mali za urithi, mara mwijaku anagombaniwa na madent wa wapi siju na unakuta watu wako busy kubishana mambo kama hayo!
Mara nyingi mada zote zinazohusu mageuzi ya kimaendeleo katika taifa huwezi kuona watu wakihangaika nayo, mathalani viwanda, Mwl. Nyerere aliacha karibia kila mkoa una kiwanda but now days vimekufa vyote , na huwezi kuta watanzania wanakaa na kuhoji kama taifa mustakhabali wa viwanda hivyo, kwa nini vilikufa? Kwa nini visifufuliwe nk, badala yake , umbea kila mahali
Billions to tillions of money zinapotea, ufisadi kila mahali, lakini tunajikuta tunapuuza tu , puuuza mpaka dunia inatupuuza na yenyewe huku kipaumbele chetu ni simba na yanga , huku bifu la diamond na alikiba ndiyo vitu vinavyoongoza kujadilika, upuuzi mtupu kila mahali
Hili Taifa tusipobadilika tutafika mwisho wa safari tukiwa tumechoka sana bila wenyewe kujua kuwa tumechoka