Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Kwanini lalkini?? Ustaarabu wa matumizi ya toilet kwa watz na hata waafrika wengine ni "0"
Je ni tamaduni zetu mbovu au?
Ukiacha public toilets ambazo huwa nI chafu karibu mara zote ukiacha
mahoteli makubwa ( huwa yana wasafishaji stand-by)..hata majumbani mwa baadhi ya watu utashangaa
uchafu ulivyozagaa...mimajimaji chepechepeeeeeee!! Hata maofisini! Miaka ya nyuma kidogo nakumbuka
ukiingia "Hazina" -yaani Wizara ya fedha kilichokua kinakupokea kuanzia mlangoni ni harufu mbaya ya choo!
Bora siku hizi kuna makampuni ya usafishaji yanafanya kazi nzuri lol!
Uswazi watu hufanya mambo yao kwenye mifuko ya "rambo" AU MAGAZETI na kutupa
barabarani usiku!
Binafsi kuna watu wakija nyumbani kwangu napata mashaka sana wakitaka kutumia
toilet!NAKWAZIKA LOL!
Sasa kuna wazo hapa..........nani alishajikuta yuko katikati ya mji au hata nje ya mji na anahitaji kutumia
toilet for short or long call........... utaenda vichakani au utafanyaje? Hata kama kuna choo cha umma au hata
cha "kulipia" sh 100-200/= unaweza ukapata homa ghafla utakapojaribu kuingia humo.
Nafikiria mobile/taxi toilets as an ideal business.... hahahah sipati picha itakavyokuwa .....
Je ni tamaduni zetu mbovu au?
Ukiacha public toilets ambazo huwa nI chafu karibu mara zote ukiacha
mahoteli makubwa ( huwa yana wasafishaji stand-by)..hata majumbani mwa baadhi ya watu utashangaa
uchafu ulivyozagaa...mimajimaji chepechepeeeeeee!! Hata maofisini! Miaka ya nyuma kidogo nakumbuka
ukiingia "Hazina" -yaani Wizara ya fedha kilichokua kinakupokea kuanzia mlangoni ni harufu mbaya ya choo!
Bora siku hizi kuna makampuni ya usafishaji yanafanya kazi nzuri lol!
Uswazi watu hufanya mambo yao kwenye mifuko ya "rambo" AU MAGAZETI na kutupa
barabarani usiku!
Binafsi kuna watu wakija nyumbani kwangu napata mashaka sana wakitaka kutumia
toilet!NAKWAZIKA LOL!
Sasa kuna wazo hapa..........nani alishajikuta yuko katikati ya mji au hata nje ya mji na anahitaji kutumia
toilet for short or long call........... utaenda vichakani au utafanyaje? Hata kama kuna choo cha umma au hata
cha "kulipia" sh 100-200/= unaweza ukapata homa ghafla utakapojaribu kuingia humo.
Nafikiria mobile/taxi toilets as an ideal business.... hahahah sipati picha itakavyokuwa .....