The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Kuna kitu kuhusu sisi watanzania,ambacho kwa maoni yangu kinaweza kuwa ni tatizo kubwa kuliko ufisadi,kwa mtazamo wangu hiki kitu kimechangia kuzaliwa kwa ufsadi,hiki kiti ni abusive culture ambayo watanzania wengi tunayo na hatujui kuwa ni tatizo kubwa,
kutokana na hii abusive culture tuliyonayo,kwanza utaona karibu kila mtu
huwa tunapenda kumkashifu na kum abuse hata bila sababu za maana,kwa tanzania mtu kuwa maarufu ni kama laana fulani hivi,kabla hata ze comedy hawajaanzisha kipindi cha alie fulia,tayari watu walikuwa wanapata tabu ya kukashifiwa mitaani,
moja yA sababu ni mtazamo potofu wa maana hasa ya umasikini,
wengine wanaona mtu kutokuwa na gari ndo umasikini,
na hata kama mtu ni masikini je ni halali mtu huyo kukashifiwa?????
anyway najaribu kusema kuwa sisi kama watanzania tuna tatizo la kutojithamini na kutojua thamani hasa ya watanzania wenzetu ndo maana
kuna watu huwa wanafikiri ili mtanzania awe na thamani ni lazima awe na hali fulani,misamiati kama kajambanani,wavuja jasho,au walalahoi imekuwa kawaida kumaanisha watu wa chini,as if watu wakiwa na kipato cha chini
wanakuwa na thamani pungufu hivi,mentality ya watanzania wengi
ni kuwa mtu mtu hawezi kujiona ni noble mbele za watu kama ni mlalahoi...
utawasikia watu wakiambiana kwenye daladala kuwa kama unataka heshima kapande taxi,as if mtu anakuwa si mtu kwa kuwa anapanda daladala,huo ni mfano mmoja tu,but mifani ni mingi sana......
hata mapenzi yetu yanatawaliwa na kuthamini vitu zaidi kuliko
chochote,watu washenzi wenye pesa huabudiwa,na watu wa maana wasio na kitu hukashifiwa,
chanzo cha yote hayo inferior complex inayowasumbua watanzania wengi sana,
wengi wetu hatujichukulii kuwa ni watu noble na wanapaswa kuwa treated with respect regardless hata kama ni watu masikini,
na madhara ya kuishi kwenye abusive culture ni makubwa sana,kubwa zaidi tunajikuta tunatengeneza cycle ya kufeli kila mara kwenye kila kitu
iwe politics au michezo au chochote kile,ukitazama tanthilia za tv utaona zote zinashabikia kudhalilishana na kushambuliana,
ukija kwenye muziki kwa mfani taarabu ndo kabisa
ni abusive culture hundred percent,kwa ujumla ile ambayo tunaweza
kuiita ni tanzania pop culture ni culture ambayo ina promoti watu kudhalilishana na kuzodoana as if watu wote tunapaswa kuwa na
hali fulani ya kufanana,
ndio maana ze comedy walipoanzisha kipengele cha aliefulia,
kipengele hiko kimekuwa maarufu sana,
ni kwa sababu deep ndani ya mioyo yetu tuapata faraja watu wengine
ambao ni watanzania wenzetu wakidhalilishwa,hata kama hatuwezi kusema
hadharani au tunajifanya hatupendi,
ni tatizo lililo ndani ya saikolojia yetu,since we feel we are not something
it feel beter if someone else is being told he is no body.
ni tatizo la self esteem i guess but ni widespread.
tatizo hili la watanzani unaliona kila sehemu hata humu ndani naliona.
kutokana na hii abusive culture tuliyonayo,kwanza utaona karibu kila mtu
huwa tunapenda kumkashifu na kum abuse hata bila sababu za maana,kwa tanzania mtu kuwa maarufu ni kama laana fulani hivi,kabla hata ze comedy hawajaanzisha kipindi cha alie fulia,tayari watu walikuwa wanapata tabu ya kukashifiwa mitaani,
moja yA sababu ni mtazamo potofu wa maana hasa ya umasikini,
wengine wanaona mtu kutokuwa na gari ndo umasikini,
na hata kama mtu ni masikini je ni halali mtu huyo kukashifiwa?????
anyway najaribu kusema kuwa sisi kama watanzania tuna tatizo la kutojithamini na kutojua thamani hasa ya watanzania wenzetu ndo maana
kuna watu huwa wanafikiri ili mtanzania awe na thamani ni lazima awe na hali fulani,misamiati kama kajambanani,wavuja jasho,au walalahoi imekuwa kawaida kumaanisha watu wa chini,as if watu wakiwa na kipato cha chini
wanakuwa na thamani pungufu hivi,mentality ya watanzania wengi
ni kuwa mtu mtu hawezi kujiona ni noble mbele za watu kama ni mlalahoi...
utawasikia watu wakiambiana kwenye daladala kuwa kama unataka heshima kapande taxi,as if mtu anakuwa si mtu kwa kuwa anapanda daladala,huo ni mfano mmoja tu,but mifani ni mingi sana......
hata mapenzi yetu yanatawaliwa na kuthamini vitu zaidi kuliko
chochote,watu washenzi wenye pesa huabudiwa,na watu wa maana wasio na kitu hukashifiwa,
chanzo cha yote hayo inferior complex inayowasumbua watanzania wengi sana,
wengi wetu hatujichukulii kuwa ni watu noble na wanapaswa kuwa treated with respect regardless hata kama ni watu masikini,
na madhara ya kuishi kwenye abusive culture ni makubwa sana,kubwa zaidi tunajikuta tunatengeneza cycle ya kufeli kila mara kwenye kila kitu
iwe politics au michezo au chochote kile,ukitazama tanthilia za tv utaona zote zinashabikia kudhalilishana na kushambuliana,
ukija kwenye muziki kwa mfani taarabu ndo kabisa
ni abusive culture hundred percent,kwa ujumla ile ambayo tunaweza
kuiita ni tanzania pop culture ni culture ambayo ina promoti watu kudhalilishana na kuzodoana as if watu wote tunapaswa kuwa na
hali fulani ya kufanana,
ndio maana ze comedy walipoanzisha kipengele cha aliefulia,
kipengele hiko kimekuwa maarufu sana,
ni kwa sababu deep ndani ya mioyo yetu tuapata faraja watu wengine
ambao ni watanzania wenzetu wakidhalilishwa,hata kama hatuwezi kusema
hadharani au tunajifanya hatupendi,
ni tatizo lililo ndani ya saikolojia yetu,since we feel we are not something
it feel beter if someone else is being told he is no body.
ni tatizo la self esteem i guess but ni widespread.
tatizo hili la watanzani unaliona kila sehemu hata humu ndani naliona.