Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Huyu Mtu akiingia madarakani
1: Elimu bure mpaka form Six, Wengine wamesema hawawezi
2: Katiba mpya ndani ya siku 100
3: Mafisadi kukiona cha mtema kuni, maana alipokuwa Mbunge tu aliwatetemesha je akipewa Nchi?
4: Ataunda baraza dogo la Mawaziri kama Njia mojawapo za nyingi alizonazo za kupunguza Bajeti ya kuhudumia Serikali
5: Misharahara ya Wabubge kupunguzwa
6: Kodi za vifaa vya Ujenzi kupunguzwa ili Kila mtu ajenge nyumba za Kisasa
Sasa Watanzania wanataka nini jamani kutoka kwa Mungu?
1: Elimu bure mpaka form Six, Wengine wamesema hawawezi
2: Katiba mpya ndani ya siku 100
3: Mafisadi kukiona cha mtema kuni, maana alipokuwa Mbunge tu aliwatetemesha je akipewa Nchi?
4: Ataunda baraza dogo la Mawaziri kama Njia mojawapo za nyingi alizonazo za kupunguza Bajeti ya kuhudumia Serikali
5: Misharahara ya Wabubge kupunguzwa
6: Kodi za vifaa vya Ujenzi kupunguzwa ili Kila mtu ajenge nyumba za Kisasa
Sasa Watanzania wanataka nini jamani kutoka kwa Mungu?