Watanzania msiipigie kura CHADEMA 2015

Watanzania msiipigie kura CHADEMA 2015

Ng`wanakidiku

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2009
Posts
1,195
Reaction score
232
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!
 
hiki ni kibwengo au? education? experience. enzi Hitler alikuwa anajua sehemu za kuwapeleka.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa CCM ni chama kongwe na hawakurupuki ktk maamuzi. We angalia mchakao wa kusuluhisha hili suala la madakitari, ni suala ambalo limefanywa kwa umakini na linaendelea kutatuliwa kwa umakini. Sasa hao kenya tangu waweke upinzani;
  1. Mwaikibaki na Raila waligombana
  2. Raila alijilimbikizia mali kwa kuchukua mikataba ya mafuta toka Arabuni,
  3. Mwaka 2007 wakenya wakachinjana kwa sababu ya uchu wa madaraka wa hao wapinzani
  4. Na sasa hawataki kuwasikiliza wanachi wanyonge waliowapatia kura na wameamua kuwafukuza kazi!
Je kumfukuza mtu au kumfuta mtu kazi ni suluhisho? si ni ujinga? Kwani serikali ya CCM wasingeweza kuwafukuza ma Dr? Mbona wameamua kutumia njia ya mahakama wakati huo wanaendelea na mazungumuzo! Msiniite kiduku, naomba mtafakari!!
 
hiki ni kibwengo au? education? experience. enzi Hitler alikuwa anajua sehemu za kuwapeleka.
Ukweli utajitenga, sioni haja ya kuupigia upatu upinzani. Wanamuda mrefu wa kujifunza!!! Ni labda baada ya 50 years ndiyo wanaweza kuwa na sifa za kuongoza nchi.
 
kweli hiki ni kuduku.
T2015CDM
Chadema mwendo mdundo. Sisiemu preshaa inapanda inashuka
 
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!

ukamsihi baba na mama yako labda na mpenzi wako kama atakusikiliza
 
uko sawa kabisa ccm kwa ukongwe wake kinatakiwa kuwapitisha wakonge ili wagombee kwa sababu kwa akili yako ukongwe ndiyo dawa.

ccm impitishe kingunge ngombale mwiru kuwa mgombea urais,waziri mkuu awe peter kisumo.

mawaziri wastaafu wote jumuiya ya afrika mashariki kwa sababu hawa machekbob walioishika ccm na upinzani hawafai.
 
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!

Siasa za Tanzania haziongozwi kwa upepo wa wakenya unapepea kuelekea wapi.
 
CCM ipo juu, hata wabishi hilo mnalijua! Haikurupuki ktk maamuzi!
 
Siasa za Tanzania haziongozwi kwa upepo wa wakenya unapepea kuelekea wapi.
Sawa lakini tuna lakujifunza kutoka kwa hao wenzetu, maana wapinzani wanapokuwa wanalilia kuondoa chama tawala wana mbwembwe nyingi kweli, lakini wakipta tu madaraka wanaingia kwenye uhalisia wa uongozi na hapo ndipo utakapo shuhudia urafi na ukorofi wao.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa CCM ni chama kongwe na hawakurupuki ktk maamuzi. We angalia mchakao wa kusuluhisha hili suala la madakitari, ni suala ambalo limefanywa kwa umakini na linaendelea kutatuliwa kwa umakini. Sasa hao kenya tangu waweke upinzani;
  1. Mwaikibaki na Raila waligombana
  2. Raila alijilimbikizia mali kwa kuchukua mikataba ya mafuta toka Arabuni,
  3. Mwaka 2007 wakenya wakachinjana kwa sababu ya uchu wa madaraka wa hao wapinzani
  4. Na sasa hawataki kuwasikiliza wanachi wanyonge waliowapatia kura na wameamua kuwafukuza kazi!
Je kumfukuza mtu au kumfuta mtu kazi ni suluhisho? si ni ujinga? Kwani serikali ya CCM wasingeweza kuwafukuza ma Dr? Mbona wameamua kutumia njia ya mahakama wakati huo wanaendelea na mazungumuzo! Msiniite kiduku, naomba mtafakari!!

Ndugu KIDUKU>
Kwetu tuna methali isemayo MALWA NENJU YAGO Sasa ndio wewe ndugu.
Maana isiyo halisi ni Pombe na nyumba yake. Wewe na ccm mko hivyo mmebunguliwa uwezo wa kufikiri.
 
ukamsihi baba na mama yako labda na mpenzi wako kama atakusikiliza
Duh! sawa bwana, Ila ukweli ndiyo huo, sina haja ya kukuelewesha zaidi ya hapo, CDM ni wababe na wamekaa kishari shari, mfano zitto mara wagombane na mwenyekiti mara na Dr Slaa, mara watofautiane na kuweka hadharani migogoro yao, ina maana wakipewa nchi itakuwa kama kenya, Mwakibaki a.k.a Dr Slaa anaweza kung'ang'ania madaraka na zitto a.k.a Raila anaweza kutaka kuwa rais, na ndipo utakapoona nchi haiwezai kusonga mbele
 
Ni ukweli usiopingika kuwa CCM ni chama kongwe na hawakurupuki ktk maamuzi. We angalia mchakao wa kusuluhisha hili suala la madakitari, ni suala ambalo limefanywa kwa umakini na linaendelea kutatuliwa kwa umakini. Sasa hao kenya tangu waweke upinzani;
  1. Mwaikibaki na Raila waligombana
  2. Raila alijilimbikizia mali kwa kuchukua mikataba ya mafuta toka Arabuni,
  3. Mwaka 2007 wakenya wakachinjana kwa sababu ya uchu wa madaraka wa hao wapinzani
  4. Na sasa hawataki kuwasikiliza wanachi wanyonge waliowapatia kura na wameamua kuwafukuza kazi!
Je kumfukuza mtu au kumfuta mtu kazi ni suluhisho? si ni ujinga? Kwani serikali ya CCM wasingeweza kuwafukuza ma Dr? Mbona wameamua kutumia njia ya mahakama wakati huo wanaendelea na mazungumuzo! Msiniite kiduku, naomba mtafakari!!

Ama kweli we ni kiduku! Ghana, Zambia, Mauritius na Cape Verde siasa zao zikoje na maendeleo yao yakoje? Kenya unakokusema umewahi hata kufika ukaona walichokifanya tangu 2007, au unajiropokea tu b.w.e.g.e wee?
 
Ama kweli we ni kiduku! Ghana, Zambia, Mauritius na Cape Verde siasa zao zikoje na maendeleo yao yakoje? Kenya unakokusema umewahi hata kufika ukaona walichokifanya tangu 2007, au unajiropokea tu b.w.e.g.e wee?
Mtoboasiri, sikiliza! Ukilinganisha upiznani wa hizo nchi ni stable, hwezi kulinganisha na upinzani wa TZ ambao wamejaa njaa (mfano David Kafulila alikuwa na haja gani ya kupiga magoti na kulia ili asamehewe?) na CHADEMA ni chama kilicho jaa migogoro ya hapa na pale, labda kikiundwa chama kingine chenye mlengo na dhamira ya dhati ya kusikiliza matatizo ya watanzania walio wengi na kisiwe na migogoro
 
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!

huu wimbo mbuzi wanaweza kucheza!!!!!!!!!
 
Bwana ng'wana kiduku mi kusema ukweli sijaelewa nn hasa lengo la mada yako,unasihi,elimisha,lazimisha au ndo kampeni? Nadhani ungeonekana wa maana kama ungajaribu kuona mapungufu ya ccm pia na kutoa suluhisho kuliko kukurupuka kama mtu aliyefumaniwa na kuanaza kuongelea cdm tu.jipange kijana.
 
Mtoboasiri, sikiliza! Ukilinganisha upiznani wa hizo nchi ni stable, hwezi kulinganisha na upinzani wa TZ ambao wamejaa njaa (mfano David Kafulila alikuwa na haja gani ya kupiga magoti na kulia ili asamehewe?) na CHADEMA ni chama kilicho jaa migogoro ya hapa na pale, labda kikiundwa chama kingine chenye mlengo na dhamira ya dhati ya kusikiliza matatizo ya watanzania walio wengi na kisiwe na migogoro

Kiwia kesha shinda kesi ya uchaguzi ilemela taarifa unazo?
 
Back
Top Bottom