tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
Nawatakia IDD njema watanzania wote!!
Lakini huku tukiangalia ni mfumo gani Mzuri hapa kwetu Tanzania ktk kumpa elimu mtoto wa kike ktk mazingira yoyote Yale ambayo anayo!!!?
Wanabodi,NGOs,Serikali, wadau wa Elimu,Wanasiasa,Viongozi n.k kichwa cha habari kinajieleza!!
Lakini huku tukiangalia ni mfumo gani Mzuri hapa kwetu Tanzania ktk kumpa elimu mtoto wa kike ktk mazingira yoyote Yale ambayo anayo!!!?
Wanabodi,NGOs,Serikali, wadau wa Elimu,Wanasiasa,Viongozi n.k kichwa cha habari kinajieleza!!