Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,488
Mkandara,
Kiranga anasema kuwa, kwa vile hatuna serikali, vyama na ideology kwa standard yake, basi tuachane kabisaaa na investment kwenye human resource. Kwa maoni yake, ni upotevu wa pesa za serikali kutoa elimu ya msingi kwa raia wa nchi yako.
ohhhh then... I give up
Unastretch maneno yangu, mimi nakwambia kwa nini unataka kuiamini sana serikali mbovu? Kwa nini usiweke misingi ya decentralization of resources watu walipe shuleni instead of shule kutegemea kodi ya serikali, au hata kama shule zikitegemea serikali kwa nini kusiwe na mifuko maalum inayojulikana kwamba haya ni mapato ya 20% ya Watanzania wanaojilipia elimu, watu waweze kujipima vizuri zaidi ?