Wenzetu kenya wametuonesha umuhimu wa vyombo huru vya maamuzi- i
[HASHTAG]#katiba[/HASHTAG] mpya Tanzania mpyaWenzetu kenya wametuonesha umuhimu wa vyombo huru vya maamuzi- amani yao haijalindwa na mabomu na wanajeshi kujaa barabarani imelindwa kwa mahakama kutoa maamuzi kwa haki bila kuingiliwa na serikali. hii ndio amani ya kudumu ..huwezi kuilinganisha na ile ya kutumia unyanyasaji wa raia na maonesho ya kijeshi
NB: harakati za kudai na kuitaka katiba yetu mpya zianze mapema kabla ya chaguzi zijazo ili kuweka misingi ya amani ya kudumu ktk taifa letu. lazima tulipende taifa letu na tuliandalie misingi ya kudumu huo ndio uzalendo
kenyata kaonesha uzalendo mkubwa kwa nchi yake hakutaka kuliingiza taifa ktk machafuko ..hakukuwa na kamata kamata ya wangalizi wa ndani wala hakuna komputa za watu zilizotekwa kama sisi mwaka juzi
Uko sahihi 100%Wenzetu kenya wametuonesha umuhimu wa vyombo huru vya maamuzi- amani yao haijalindwa na mabomu na wanajeshi kujaa barabarani imelindwa kwa mahakama kutoa maamuzi kwa haki bila kuingiliwa na serikali. hii ndio amani ya kudumu ..huwezi kuilinganisha na ile ya kutumia unyanyasaji wa raia na maonesho ya kijeshi
NB: harakati za kudai na kuitaka katiba yetu mpya zianze mapema kabla ya chaguzi zijazo ili kuweka misingi ya amani ya kudumu ktk taifa letu. lazima tulipende taifa letu na tuliandalie misingi ya kudumu huo ndio uzalendo
kenyata kaonesha uzalendo mkubwa kwa nchi yake hakutaka kuliingiza taifa ktk machafuko ..hakukuwa na kamata kamata ya wangalizi wa ndani wala hakuna komputa za watu zilizotekwa kama sisi mwaka juzi