Watanzania hawana imani na Waziri wa Nishati January Makamba, anapaswa kuachia ngazi, asipoachia Rais amuondoe

Una maana Magufuli wetu aliuawa na waliomuua ndio wanaoendesha nchi kwa sasa??!! duh...
 
Mazingira yapi mazuri na ya kitaalam wakati hana utaalam wowote wa maswala ya umeme?kama ni maswala ya uongozi haihitaji muda mrefu wa kujifunza
 
Kinachoangaliwa ni impact ya approach ya kinachofanyika. Kuna mmoja hapo ana negative impacts nyingi Kuna mwingine ana positive impacts nyingi
 
Sikiliza Kalemani! Kama Kuna madili hukumalizia kuwa mpole tu! Hukuzaliwa kuwa Waziri!

Kama shida ya Umeme ilikuwepo ukiwa Waziri na haijawai kuondoka!

Makamba ndo waziri we endelea kunung’unika tu huko Chato
Exactly,ndio yeye huyo amewalipa wahuni mitandaoni wanamsakama January, mpuuzi Sana kaleeemani
 


Amemteta wapi ?

Kuhusu jambo gani ?

Mnataka kuanza kumfitinisha na Rais ?



Yatawashinda


Mpewa hapokonyeki


Kama ni hivyo basi Januari he is a greater person.

Itakuwa Mwenyezi Mungu ameweka kitu kikubwa sana ndani yake ambacho wanajimu wanakiona na kukasirika kwa husuda!

Aisee angalieni nawashauri msijemkaugua!

Chuki, husuda, fitina huwa humuumiza mwenye kuzibeba moyoni.
 
Wewe ni mmoja wa lile kundi lililomwagwa humu kumchafua tu na si vinginevyo. Ukiulizwa kafanya lipi baya utaumauma midomo tu.
Twambie kama unajua, Makamaba alisema baada ya siku mbili au tatu atakuja na suluhu ya kudumu ya umeme
Je unajua nini kiliendelea utujuze?

Kama mtu anajichafua mwenyewe sasa sisi tunamchafuaje?

Toa jibu la suruhu ya umeme la siku mbili kama unamtetea,
Je alisemaje?
 
Hivi ukimchukia shetani mwisho wake ni upi???
 
Mkuu


Nakuunga mkono asilimia 100 ila tatizo ni mtoto wa mama ni sharti abebwe kwa mbereko. Huyo kijana hafai kwa uongozi wa aina yoyote labda ujanja-ujanja wa mitandao lakini sio kuongoza watu wenye akili kubwa.

January hafai
 
Hivi ukimchukia shetani mwisho wake ni upi???


Changamoto ni pale unapotakiwa kuthibitisha kama ni shetani kweli au ni kwa kuzaniazania na mtazamo tu!

Hata sometimes mitihani tunatopitiaga Wanadamu na failures mbalimbali mara nyingi tunazani ni shetani lakini huwa tunakosea , siyo kwa kiasi hicho.

Mitihani mingine hutoka kwa Mwenyezi Mungu, mingine husababishwa na uzembe wetu wenyewe Wanadamu na matendo maovu.
 
Sema wewe na sio watanzania, Hakuna mtu amekutuma utujumuishe kwenye mawazo na mitizamo yako
 
Amehujumu kivipi ?


Kwamba hutakikukubaliana na ukweli kuwa kumekuwa na tatizo la ukame kiasi cha kusababisha hata huduma ya maji ya kawaida kukosekana?

Na unajua kuwa umeme ya nchi hii huzalishwa kwa njia ya Maji ?
Hamna ukweli umeme na maji yanakosekana kwasababu ya ukame. Visingizio pelekeni kwa wake zenu tunataka umeme. Na wajinga wengine hao Dawasco na mgao wa maji. Mimi sio fan wakuendekeza uzembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…