Una maana Magufuli wetu aliuawa na waliomuua ndio wanaoendesha nchi kwa sasa??!! duh...Nchi zingine mbona wanaservice na umeme haukatwi kila siku.Shida watu wanahoji ni hivi inamaana kama wao kuingia tu kila kitu kikawa kibaya hadi crane ya kunenyua tani 29 inabidi inagizwe nje wakati crane nchini zipo harfu unasema tumpe mda.Mtu wa kumpa mda ni yule unakuta ameingia mambo yakiwa mabaya hivo anatakiwa kurehekebisha.Lakini yeye amekutana mambo kwa wananchi yalikuwa mazuri ila sasa wao wameharibu harafu wanasingizia visivyowezekana..eti mashine hazikuwahi kukarabatiwa na nyie watanzaniq mnakubali na kutetea.Je unajua maana ya corrumption syndicates?je unajua Tanzania ni watu gani wanaendesha nchi kwa kuibia nchi?Je unajua unajua ni watu gani walimuua magufuri na wako na sasa ndo wanaendesha nchi ikiwemo kuendesha kukta umeme ili wafanikiwe mambo yao?Tafakari