Watanzania hatupati maendeleo sababu ni nyingi, ila za msingi kabisa ni unafki na uchawi

Watanzania hatupati maendeleo sababu ni nyingi, ila za msingi kabisa ni unafki na uchawi

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
11,293
Reaction score
25,771
Rejea title, rejelea jukwaa.
Ukitaka mada za maana nenda siasani kule ukqjionee vioja. Watanzania wanafki sana, tuambizane ukweli kwa kutoambizana kweli.

Niyasemayo ni haki, na dhahiri shahiri tumezidi ufinyangu na ubazazi. Na baadhi ya ndugu zangu hasa wa kusini kule tumbunguze mitishamba na ulozi ili tuendelee walau thumuni.

Juzi tu tulitoka kuambia Vunjabei katoka familia hali mbaya, kasevu bumu kaja kuchanga na mwemzake milion 2 kwa milion 4 aliyotoa framk knows ikawa 6 akachukua mzigo china. Wakati vunja bei kakaa bongo anaunga unga mwana. Baada ya baba yake kufa ndo mambo hadharani!

Leo hii umaambiwa anzia ulipo, toka magetoni sijui... changamka na jichanganye mwishoni uchanganyikiwe tu. Kama kuna mtu kakaa vibaya humuelewi toka hata kafara umpunguzie dhambi mwa mungu mradi ya kwako yaende. Acha kusikiliza porojo na tantalila za hawa watu utachelewa na kupotea kabsaaaaa! Alaaah!
Screenshot_20260220_175303_Facebook.jpg
 
(Kama kuna mtu kakaa vibaya humuelewi toka hata kafara umpunguzie dhambi mwa mungu mradi ya kwako yaende.) hii sentesi hii duh? 🤔Nikae makini 🤣wasije wakawa hawanielewi vile
 
(Kama kuna mtu kakaa vibaya humuelewi toka hata kafara umpunguzie dhambi mwa mungu mradi ya kwako yaende.) hii sentesi hii duh? 🤔Nikae makini 🤣wasije wakawa hawanielewi vile
Mi nashangaa unashindwaje kumtoa kafara mzee wakati mlevi mpaka anajikojolea. Huyu hat ukimtangulize si unpata thawabu kabisa
 
Kama ndivyo mkuu basi ishi maisha yako achana naya watu!
Niachane vipi na ya watu wakati naishi kama mtu? Tunafanya marekebisho ya mipango na maisha yetu kwa kuangazia wengine.

Mkuu ningekua na udugu na wewe ningeanza na wewe kukutoa kafara
 
Moja kati ya sababu kuu ya kuchelewa kwa maendeleo Afrika. Mtu mwengine hata kama sio mchawi wa tunguli ana roho ya kichawi, akisikia habar nzur kwq ndugu au jamaa anashikwq na kiwewe na gegezeko la roho. Roho inauma vibaya sana kusikia habar nzuri
Muafrika na uchawi ni makalio na kigoda.
 
Bahat mbqya mkuu mm sina ndugu wa karibu. Huku nilipo nin mpango wa kuanzisha ukoo wangu so nitawatoa wakishakuwepo ukoo wa kalaga baho. Ni ukoo mpya kabisa, unaweza kujoin ukoo wangu nikakutangzliza mkuu watakaokuja waishi wasisubirie kufa huku wanalaumu ndugu
Wewe ushatoa wangapi mpaka sasa maana unasema mwenzio kashamtoa baba yake anaesema ni tajiri top 2, wewe ushatoa wangapi na kuwapunguzia dhambi?
 
Q
Za kuambiwa changanya na za kwako...


Cc: Mahondaw
Ah wapi mkuu? Umqskini na utajri ni mpango wa mtu mwenyewe, kwanza pesa sio mpango wa mungu. Ni mpqngo wa Kaisari!

Ukitaka kuamini utajiri sio zao la nature, hauna formula maalum. Unaweza kufata njia zote walizokuambia matajiri uzifate na zsiwe tajri. Mtu anaweza kuuza kubet tu akaamka milionea bila kujituma wala kufanya kaz kwa bidii
 
Back
Top Bottom