Watanzania hatuna tena uzalendo

Watanzania hatuna tena uzalendo

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,289
Reaction score
5,741
Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli.

Watanzania hatuna uzalendo kabisa.

Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana.

Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo
.Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa.

Jambo hili ni hatari.

Sijui nini kifanyike maana nikipita vijijini,watu wanayoongea utadhani sio watanzania bali sana nchi nyingine ya kufikirika.

Mungu ibariki Tanzania
 
Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli.
Watanzania hatuna uzalendo kabisa.
Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana.
Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo
.Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa.
Jambo hili ni hatari.
Sijui nini kifanyike maana nikipita vijijini,watu wanayoongea utadhani sio watanzania bali sana nchi nyingine ya kufikirika.
Mungu ibariki Tanzania
Ina wenyewe na wenyewe ndio wao. Huu wimbo huukumbuki?
 
Mzalendo namba moja huwa ni jeshi tuu , pote unapoona machafuko ni matokeo ya jeshi kugawanyika , jeshi likipishana hamna kitu wananchi mtafanya mtatafutana mno , as long as jeshi lipo imara nothing can happen with in , hyo ndo nguzo pekee ya usalama wa nchi
 
Kulalamika bila kutafuta suluhu ya kudumu kwa tatixo lile lile kila siku ni ujinga.
 
Mzalendo namba moja huwa ni jeshi tuu , pote unapoona machafuko ni matokeo ya jeshi kugawanyika , jeshi likipishana hamna kitu wananchi mtafanya mtatafutana mno , as long as jeshi lipo imara nothing can happen with in , hyo ndo nguzo pekee ya usalama wa nchi
Walimpindua Nyerere sembuse haka karembo cha pemba
 
Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli.

Watanzania hatuna uzalendo kabisa.

Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana.

Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo
.Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa.

Jambo hili ni hatari.

Sijui nini kifanyike maana nikipita vijijini,watu wanayoongea utadhani sio watanzania bali sana nchi nyingine ya kufikirika.

Mungu ibariki Tanzania
Karibu Caanda. Tuliona mbali kuhamisha Familia.

Utaumiza kichwa ….. Abdul na Mama yake wanakula mema ya Tanganyika bila hofu
 
Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli.

Watanzania hatuna uzalendo kabisa.

Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana.

Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo
.Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa.

Jambo hili ni hatari.

Sijui nini kifanyike maana nikipita vijijini,watu wanayoongea utadhani sio watanzania bali sana nchi nyingine ya kufikirika.

Mungu ibariki Tanzania
Kiufupi hakuna jirani ambaye yuko serious na kutaka au kuvamia maliasili zilizo ndani ya mipaka yetu, vinginevyo watanzania wangekuwa radhi kumuunga mkono huyo mvamizi ili tu utawala wa CCM upate shida
 
Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli.

Watanzania hatuna uzalendo kabisa.

Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana.

Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo
.Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa.

Jambo hili ni hatari.

Sijui nini kifanyike maana nikipita vijijini,watu wanayoongea utadhani sio watanzania bali sana nchi nyingine ya kufikirika.

Mungu ibariki Tanzania
uzalendo wakati Abdul anaendesha Rolls Royse ya 2 billions tsh!
 
Back
Top Bottom