Watanzania amkeni

Watanzania amkeni

Kabisa. Tena sana tu.
Anaetaka mamilioni ya watoto wa kitanzania wakose maji na chakula na huduma za LAZIMA huyo ni adui mbaya kuliko hao mafisadi wanao tuharibia nchi.
Hawana tofauti na hao wanaowalalamikia humu kina abduli au angela kiziga.....
Wale wachoma mwendokasi kuna kama walikuwepo kikosi maalumu kinachojua nini cha kuharibu, hasa mitambo ya malipo na mtandao wa kuongoza mabasi, maana hivyo ndio mbinde kuvirudisha kuliko mabati na vioo...
 

Attachments

  • 2cd5df3bb77c98ad84cf79f97fa2364a.mp4
    1 MB
  • VID-20251128-WA0001.mp4
    3.1 MB
Vipi mbona sisi wakenya hatajakamatwa na kufikishwa mahakamani?
Wakenya waliokuja kufanya fujo wako Jahannam saa hii.
Wanakula kichapo huko.

Tanzania hatutaki taarabu.
Ukija hapa kwa lengo la kuharibu nchi yetu na kuua askari wetu suala la wewe kwenda mahakamani SAHAU. Hapa ni kukueahisheni Jahannamu tu.
Mahakamani haina muda wa kusikiliza wauwaji.⁰
 
Ishu ni kwa nini Wakenya wafanikiwe kushawishi Watanganyika wachome nchi yao ? Inamaana serikali imekosa ushawishi ?
 
Ishu ni kwa nini Wakenya wafanikiwe kushawishi Watanganyika wachome nchi yao ? Inamaana serikali imekosa ushawishi ?
Jambazi au mwizi yyt hutafuta sababu tu ili apate kuvamia na kuiba mali za watu.
Wakenya walikuja kuhujumu nchi yetu. Hao vijana wa kitanzania walitumia fursa hio KUVAMIA NA KUIBA MALI ZA WATU.
Full stop.
Mtanzania mwenye njaa aende kuchoma kibanda cha mwendokasi kwa faida gani?

Amkeni fasta kabla wakenya kuja kumaliza nchi yetu
 
Msikilizeni Mkuu wa mkoa hapa kisha jengeni hoja.
Ile mihemko ya mitaani hatutaki.
Ukiona hakuna la maana hapa toa hoja yako.
Matusi kila asie na hoja anajua.



View: https://youtu.be/AUpLW2hJVQ4?si=if-6aJLJyrEGufCD

Kisha msikilize huyu mzalendo hoja zake.
Kama hukubaliani nazo leta zako tukusome.


N;B Admin please leave this thread alone.

Kwa maelezo haya ya huyu mjinga, ina maana hii nchi haina ulinzi kabisa!
Kama hayo yalijulikana kabla kwanini hawakuzuia mapema?

Kama ndivyo, basi Hii imedhibitisha kabisa pasi na shaka yoyote kwamba vyombo vyote vya ulinzi vinailinda CCM badala ya kuilinda nchi.

Hili jambo halikubaliki na suluhisho lake ni #D9 tu.
Halafu wewe mzee acha kutoa vitisho mbuzi wakati unajua wazi kwamba siku hiyo unalala uvunguni.
GenZ wanendelezea pale walipoachiia 2910.
Watakuja kivingine na hawanunui woga.
 
Msikilizeni Mkuu wa mkoa hapa kisha jengeni hoja.
Ile mihemko ya mitaani hatutaki.
Ukiona hakuna la maana hapa toa hoja yako.
Matusi kila asie na hoja anajua.



View: https://youtu.be/AUpLW2hJVQ4?si=if-6aJLJyrEGufCD

Kisha msikilize huyu mzalendo hoja zake.
Kama hukubaliani nazo leta zako tukusome.


N;B Admin please leave this thread alone.

Nilichogundua vijana wengi wa ccm hawana uwezo wa kifikiri
 
Jambazi au mwizi yyt hutafuta sababu tu ili apate kuvamia na kuiba mali za watu.
Wakenya walikuja kuhujumu nchi yetu. Hao vijana wa kitanzania walitumia fursa hio KUVAMIA NA KUIBA MALI ZA WATU.
Full stop.
Mtanzania mwenye njaa aende kuchoma kibanda cha mwendokasi kwa faida gani?

Amkeni fasta kabla wakenya kuja kumaliza nchi yetu
Breeding sites wazitengenezeni nyie, vichochoro mnavijenga nyie. Mtaingiliwa si na wake ya tu bali yeyote atakayetaka kuwaingilia. Mmevua na kubong'oa alafu malalamiko kuingiliwa?. Hebu vaeni kwa stara muone kama mtasumbuliwa.
Siyo lazima unielewe.
 
Wapi nimeshabikia watu kupoteza uhai wao.? Acha unafiki wa kubandika waungwana sifa wasizo kuwanazo.
Mimi pia nimepoteza ndugu zangu waliokuwa wanakwenda kuswali msikitini. Na pia siwezi kulaumu askari. Manake waliosababisha watu wangu kufa ni hao majambazi wa kenya wakiungana na majambazi wa hapa kwetu.

Askari anaona kundi la watu wanaochoma mali za maskini na kuiba mali za raia na wao kuuawa unategemea atazame tu au?

Acheni mihemko. Semeni ukweli km mnavyofunzwa na BIBILIA. Unafiki sio dili
JAnja unazingua
 
Wakenya waliokuja kufanya fujo wako Jahannam saa hii.
Wanakula kichapo huko.

Tanzania hatutaki taarabu.
Ukija hapa kwa lengo la kuharibu nchi yetu na kuua askari wetu suala la wewe kwenda mahakamani SAHAU. Hapa ni kukueahisheni Jahannamu tu.
Mahakamani haina muda wa kusikiliza wauwaji.⁰
Nahisi na hayo majigambo yako kuna namna labda utabakia milele.
 
Acha kutugombanisha na wakenya kenge wewe, propaganda zako za kifala ingiza kwenye makalio yako, huna akili kabisa
 
Je utakubariana na maandamano haya endapo tu, watu wote watatoka barabarani na hakuna duka wala miundombinu kuharibika?
Wewe ukikubari, sa100 na kundi lake hawatakubari, wataanzisha kitu kitakachoperekea uharibifu kutokea. Sasa hapa mleta fujo hujamjua tu.
 
Hilo sio swali unaweza kumuuliza mzalendo hata siku moja.
Mafisadi tunawalaani kila siku humu na lazima itafutwe njia ya sio kuwatoa madarakani tu bali wakamatwe na wahukumiwe kwa mujibu wa Sheria.

Kwahio unapotaka kuuliza swali jaribu kuangalia unamuuliza nani.

Ahsanta
Mbona sijawahi kuona unaongelea ufisadi awamu ya 6 ambao kila siku unaelezwa na CAG. Mfano tu kashfa ya sukari tu siwezi ona ukikiri ni udhaifu. Kuna mambo kama utekaji sijawahi ona ukikosoa. Kiongozi gani wa dini unashindwa kuona thamani ya maisha ya watu? Ngoja siku mgeuziwe kibao kuwa masheikh ndio mlihamasisha mauaji ya kidini na trust me mtateswa kama uamsho ndio akili zitawarudi. Maalim, Shetani hanaga rafiki.

Be on the right side of history
 
Vitisho ni kauli zinazotumika kutia hofu . Mimi sitishi mtu bali naeleza HALI HALISI.
Wale wote ambao wamepanga kuja kuvunja maduka na kuiba mali za Raia safari hii tumejipanga.
We km unadhani hivyo ni vitisho ungana nao.

Hatuwezi kuletewa upumbavu na watu wachache kuturudisha nyuma miaka 40 kwa sababu ya tamaa zao.
Si hapo juu umesema mafisadi wakamatwe na wafunguliwe mashtaka kwa mujibu wa sheria. Toka lini hao unaowaita wezi wa maduka muwaue wakati inatakiwa afikishwe kwenye vyombo vya sheria?

Mafisadi unataka yalindwe ila vijana wenye njaa mnataka wauwawe. Are you serious?

Ila nikwambie tu ukijichanganya kutoka nje kulinda duka usishangae hao polisi wakakudungua wewe au umesahau wenzako wa kinyerezi walioenda kulinda duka lililokua linaibiwa waliuwawa 8 pale pale
 
Askari anaona kundi la watu wanaochoma mali za maskini na kuiba mali za raia na wao kuuawa unategemea atazame tu au?
We mpuuzi kweli Sherif Majini alikua anaiba wapi alipopigwa risasi ndani ya nyumba yake? Ukipata jibu basi ujue 70% ya waliokufa walimalizwa nyumbani kama ambavyo wewe na kiherehere chako cha kujifanya kulinda mali zako ndio kitakua kifo chako kutoka kwa hao hao unaodhani unawatetea!!
Manake waliosababisha watu wangu kufa ni hao majambazi wa kenya
Kenya ipi? Mbona kwenye kesi zote za uhaini na ujambazi sijaona popote kuna mkenya kashtakiwa?
 
Wale wanaodai wanataka kukomboa nchi tarehe 9 hatutosubiri askari . Tumejipanga kweli kweli.
Safari hii mtaita babaaa.
Sasa njooni nyie wakenya muone akhera kukoje.
Si hapa unashabikia kuua watu ili kuwapeleka akhera. Mbona umekua mtu wa ajabu siku hizi? Unatamani kuuwa watu kisa mali za kidunia?
 
Back
Top Bottom