Nina binamu yangu mwanafunzi chuo cha UNISA anayekaa Johannesburg sasa ni miaka minne. Jambo la kushangaza anadai eti hajapata kuwaona Watanzania jijini Johannesburg. Wale anaowakuta ni watanzania mjini wanaouza viazi, vitungu, nyanya na kadhalika. Swala lake ni hili: Hamna wanaofanya kazi maofisini au hamna hata vyama vya watanzania jijini?