ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,835
Ni Ushauri tuu msije kusema hamkuambiwa.
Mwanadada Zandile Dabula Kiongozi wa Chama Cha Oparesheni Dundula amesema atawania Urais Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Afrika Kusini na Moja ya sera kuu ya chama chama Chao ni kuwafurusha Wageni ambao anadai wamesababisha shida kubwa Nchini humo.
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1704201269861073009?t=0JAWB_EfxAJ46a1NOS6sMw&s=19
Mwanadada Zandile Dabula Kiongozi wa Chama Cha Oparesheni Dundula amesema atawania Urais Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Afrika Kusini na Moja ya sera kuu ya chama chama Chao ni kuwafurusha Wageni ambao anadai wamesababisha shida kubwa Nchini humo.
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1704201269861073009?t=0JAWB_EfxAJ46a1NOS6sMw&s=19