Wenzangu wana JF,
Nina binamu yangu mwanafunzi chuo cha UNISA anayekaa Johannesburg sasa ni miaka minne. Jambo la kushangaza anadai eti hajapata kuwaona Watanzania jijini Johannesburg. Wale anaowakuta ni watanzania mjini wanaouza viazi, vitungu, nyanya na kadhalika. Swala lake ni hili: Hamna wanaofanya kazi maofisini au hamna hata vyama vya watanzania jijini? Alipokuwa london, Watanzania kibao. Anasema eti inaonekana watanzania hawapendi sana kuja Afrika Kusini. Anadai akienda maofisi mengi tu yani coperate world, Wakenya kibao. Kasema Wakenya ni wachache London, lakini ukienda America, kila State eti hukosi Wakenya. Inakuwaje? Na kama wapo huko SA, ni mahali gani wanajificha ili naye ajitumbukize humo.
Siku njema.
Nina binamu yangu mwanafunzi chuo cha UNISA anayekaa Johannesburg sasa ni miaka minne. Jambo la kushangaza anadai eti hajapata kuwaona Watanzania jijini Johannesburg. Wale anaowakuta ni watanzania mjini wanaouza viazi, vitungu, nyanya na kadhalika. Swala lake ni hili: Hamna wanaofanya kazi maofisini au hamna hata vyama vya watanzania jijini? Alipokuwa london, Watanzania kibao. Anasema eti inaonekana watanzania hawapendi sana kuja Afrika Kusini. Anadai akienda maofisi mengi tu yani coperate world, Wakenya kibao. Kasema Wakenya ni wachache London, lakini ukienda America, kila State eti hukosi Wakenya. Inakuwaje? Na kama wapo huko SA, ni mahali gani wanajificha ili naye ajitumbukize humo.
Siku njema.