Watanzania acheni unafiki

Magufuli naye ni mpya kwenye CCM?

kipindi kile mikataba ya madini inapitishwa BUNGENI hakuwepo?

Si ndio huyu huyu aliyekuwa akipinga kwa nguvu zote hoja za wapinzani kuhusu mapungufu ya mikataba hii?
Bungeni wanapitisha mikataba??? Acheni kuchanganya mambo kwa sababu za chuki zenu.
 
Bogus!kwahiyo yeye pekeyake angepinga basi ndio hiyo sheria isingepitishwa?!Unaijua nafasi ya Waziri lakini wewe?!Kwahiyo Magufuli ndio alikuwa na uwezo wa kufanya sheria hiyo isipite?!Vipi Lowassa na Sumaye walokuwa huko na wao waliipitisha sheria hii ila leo wamekuwa mahero kwenu!!Wanafiki wa kwanza ni nyie,aibu!aibu!aibu

Elimu!Elimu!Elimu,Magufuli kanyaga twende
 
Unaelewa maana ya serikali?? Unaelewa serikali inaundwa na nini /nani?? Hivi Unaelewa jambo likishapitishwa serikalini linasubiri baraka za wabunge wapitishe?? Na hapo utakapoelewa kwa nini Chama kinachounda serikali kinahitaji kuwa na wabunge wengi wa upande wake.
Kifupi ni hivi jambo mkishaliamulia katika mikutano ya baraza la mawaziri linaungwa mkono na mawaziri wote bila kujali umelikubali au la japo mnaweza mkakosoana mkiwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri.
 
Hatuachi., Na tunaongeza na Ukuda juu..!!
 
Karogwa huyu, hizi akili za kushikiwa hivi unaanzaje kukejeli kwa inshu kama hii, of kozi hatukatai kukosoa pale palipo na mapungufu sasa mtu anakuja kuzungumzia unafiki as if ni big issue. Hivi kuna mwanasiasa ambaye si mnafiki???
Anatamani kujua mambo ila hana Elimu au uwezo wa kuyajua!!basi anaparamia kila lisemwalo na kuliamini..mwalimu wake mkubwa ni Mange!!mtu ambaye ameshaprove failure kwenye maisha yake!!
 
kumbe magu alipewa uraisi eeeh ndo maana mambo yanamuwia magumu
laiti angechaguliwa tusingekuwa hapa tulipo
 
Umeandika nini mkuu au ni mimi tu sijakuelewa???
Utanielewa tuu mkuu,hapo na maanisha hili jambo siyo lakuambiwa nakuanza kusherehekea hapa ndipo ilitakiwa watanzania tuhoji,kwanini,ninani,mkataba uko wapi,nani walihusika nakuupisha huu mkataba mbovu,je hili jambo nila leo halja wahi zungumziwa, nakama lili zungumziwa matokeo yake yako wapi,nakama yapo kwanini wali kaa kmya,je kpibdi hicho wana jadili bungeni Raisi wetu alikuwapo bungeni,je alichukua uamzgani hapo bungeni?hyo ndo ilikuwa maana Yangu mkuu maana wa Tanzania tumekuwa nakasumba yakushabikia jambo bila kuhoji.
 
piga kazi baba binadamu lazima tuseme hatuna wema sisi
 
Pamoja na kwamba anaogelea baharini lakini unadai anakutimulia vumbi.

Kwahiyo ulitaka arudishe miaka nyuma ndio atumbue?

Au ulitaka asitumbue sasa kwasababu huko nyuma akiwa waziri hakutumbua?

Wakupime wewe mtoa uzi
 
Hapo ulikuwa unaandika kwa hasiraaaa, huku ukifikiri post yako itawaokoa

Mnalo mtasaga meno

Yeye ndio bosi sasa hivi, ameyajua ndio ila kama bosi wake hakutaka kusikiliza ili mengi yafanyike...basi sasa hivi yeye ndio MKULU.

Upo....saga meno sagaaaa
 
Mm siyo mnafiki ata kidogo kuna wanafiki wameazisha huku nyuzi za kumsifia magufuli
Kumsifia kwa hili la mchanga siyo unafiki, Atakapofanya mazuri yenye kugusa maisha yetu tutamsifia, Akifanya yasiyofaa yatakayogusa maisha yetu pia tutamkosoa. Kwa hili tutampongeza na kumuunga mkono
 
Niliposema umeandika nini sikuwa na maana ya kutaka kueleweshwa bali ni mpangilio wako wa serikali sentensi (grammatical errors).
Kujibu ulichokiandika angalia post namba 65...!!!!
 
Jf ingeweka umri wa wanajamii wazi, yaani ukitokelezea na umri wako upo........
 
kwenye mkondo wa mto uchafu nao hupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…