Mkuu inatakiwa awepo mtu mtaalamu wa lugha na lafudhi pia katika maeneo hayo.
Kuna siku niliskia sehemu wimbo wa rayvani eti talaka anasema taraaaka tena karudia mara kibao nikajiuliza huyu msanii inakuwaje anakosea neno la kawaida kama hili na amezungukwa na watu wengi tu ambao pengine wakawa wanajua neno hilo kwa ufasaha ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.