Watanganyika mnatuharibia Zanzibar

Watanganyika mnatuharibia Zanzibar

mankachara

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
6,161
Reaction score
3,495
Kusema ukweli watu kutoka bara ndio mnaotuharibia Zanzibar, mnakuja Zanzibar na maadili yenu machafu mkifika hapa mnatuharibia watoto wetu. Mimi mnaniudhi kweli kwani hamuwezi kujiheshimu.

Unamkuta mwanamke wa kibongo amevaa nguo matiti yote yako nje na nyuma anatikisika kama mkia wa samaki kiasi ambacho hata kutembea na motto wako unashindwa.

Kesi ya pili ni hi indo ilonleta leo hapa, kama kawaida yangu kila mwezi nampelekea mzazi hela ya matumizi yake binafsi, sasa leo mwenyewe ametoka anaenda mjini madukani hata anafika dukani hela na simu haimo ndani ya mkoba. Alinipigia simu na kunieleza na kilichonikasirisha zaidi ana uhakika kua waliomuibia ni wale machinga waliopo pale mjini wanaoza njugu na sigara maana ukifika pale wanakung’ang’ania kama umewaita.

Ushauri wangu, ingawa tumeungana lakini serekali iwafukuze watanganyika wote wasio kazi sisi tumeshawachoka kutufanyia fujo hapa Zanzibar.
 
Una uhakika na unacho kinena ?

Mwenzangu labda atusaidie na wale mashoga waliojaa kibao tena wazanzibar nao tumewaharibu sie n a mombasa pia wapo neno nataka nikusaidie mlee mwanao katika njia impasayo nae hataiacha mpaka uzeeni , wazazi siku ya kiama tuna cha kujibu kwa kuwalea watoto njia zisizo sahihi mpaka kuwa kama wanyama malezi mabovu ndio yanaaribu watoto.
 
acha uchanganishi mbongo wewe unayejifanya mzenji
 
Wa Zanzibar wabaguzi sana.Dhambi hiyo itawatafuna sana.Hatuna shida na muungano. Xwkjhbdhk
 
Muungano wetu hautavunjwa na wagonjwa wa akili ka weye. Ati kaibiwa sim, akakupigia ukachukia. Kweli mambo mengine, tafuteni kona nyingine.
Kuibiwa sim tu, tayari muungano uvunjwe. Kila Mtanganyika aondoshwe huko kwenyu kwa sababu jamaa yako weye kaibiwa sim. Ilikuwa na siri za muungano nini?? Yaani kwa mawazo yako mazuri hivyo waona kuwa muungano huu mtukufu ukivunjika leo, kesho asubuhi utaipata hiyo simu??
Aksante tumekusikia na kabla ya mwaka huu muungano hautakuwepo ili sim yako irudishwe. Ikirudi, tutaanza tena mchakato wa kuurudisha.
 
tatizo la kichwa kutokuwa na kichogo huondoa uwezo wa kufikiri.
 
Kusema ukweli watu kutoka bara ndio mnaotuharibia Zanzibar, mnakuja Zanzibar na maadili yenu machafu mkifika hapa mnatuharibia watoto wetu. Mimi mnaniudhi kweli kwani hamuwezi kujiheshimu.

Unamkuta mwanamke wa kibongo amevaa nguo matiti yote yako nje na nyuma anatikisika kama mkia wa samaki kiasi ambacho hata kutembea na motto wako unashindwa.

Kesi ya pili ni hi indo ilonleta leo hapa, kama kawaida yangu kila mwezi nampelekea mzazi hela ya matumizi yake binafsi, sasa leo mwenyewe ametoka anaenda mjini madukani hata anafika dukani hela na simu haimo ndani ya mkoba. Alinipigia simu na kunieleza na kilichonikasirisha zaidi ana uhakika kua waliomuibia ni wale machinga waliopo pale mjini wanaoza njugu na sigara maana ukifika pale wanakung’ang’ania kama umewaita.

Ushauri wangu, ingawa tumeungana lakini serekali iwafukuze watanganyika wote wasio kazi sisi tumeshawachoka kutufanyia fujo hapa Zanzibar.

ushauri wako kama mganga wa kienyeji, haya nenda uje siku nyingine kuchukua majibu yako
 
...hahaaaa, we Una laana, serikali ipi ifanye huo ujinga, zenj Ni mkoa mmoja wa Tz, so tulieni hivyo hivyo, wazanzibaa waliopo bars wakirudishwa huko watakuwa hawatoshi.
acha uongo hakuna hata mzanzibari mmoja anaefanya kazi bar. kwani uko dar es salaam sisi hatujafika, wazanzibari wanamiliki mikahawa, maduka na mashamba ndani ya tanganyika na sio kufanya kazi bar
 
Back
Top Bottom