Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,240
- 44,487
Hilo linawezekana Ila akiwa anasindikizwa na makarandinga..ya Lissu cha mtoto!Duh! Basi inawezekana hata kumuona tena hadharani ndo basi tena…..
Hilo linawezekana Ila akiwa anasindikizwa na makarandinga..ya Lissu cha mtoto!Duh! Basi inawezekana hata kumuona tena hadharani ndo basi tena…..
Dah…..optics za yeye kusindikizwa na hayo makarandinga ni mbaya sana na watakuwa wanacheza na moto ambao unaweza kuja kuwaunguza wenyewe.Hilo linawezekana Ila akiwa anasindikizwa na makarandinga..ya Lissu cha mtoto!
tutamuona Club HouseDuh! Basi inawezekana hata kumuona tena hadharani ndo basi tena…..
Hilo linawezekana...ina maana kuna kamatakamata kubwa itatokea kwenye vyombo vya usalama.Wanadai yupo nje ya nchi.
Mzee una habari nyeti za kutoka jikoni?Hilo linawezekana...ina maana kuna kamatakamata kubwa itatokea kwenye vyombo vya usalama.
"baada ya kufukuzwa kutoka CCM na kuachia madaraka"! Usahihi ni kwamba Nchimbi alianza kuachia madaraka na baadaye CCM ilimfukuza uanachama, huo ndio ukweli, si sahihi kuupindisha.Sijui kama Nchimbi alikuwa amejiandaa kukabiliana na dhahma ambazo zinaweza kumkuta baada ya kufukuzwa kutoka CCM na kuachia madaraka haramu aliyokuwa nayo.
Hapa nawaza tu kama labda watamfungulia mashitaka ya kula njama za kufanya uhaini au mapinduzi au whatever.
Nchimbi, kwa nafasi yake haramu aliyokuwa nayo, atakuwa anajua mengi ya kutosha, hususan yale ya Oktoba 29.
Wakimfungulia mashitaka, watakuwa wamefungua boksi la pandora, jambo ambalo sidhani kama wako tayari kukabiliana nalo.
Nyie mnaonaje? Watamfungulia mashitaka au watamwacha aende zake ila labda watamnyanyasa kwa njia zingine kama kumsumbua kupata mafao [kama anayo], labda kumnyang’anya au kumpunguzia walinzi, na kadhalika.
Ila pia kwenye mambo kama haya mara nyingi mtu huwa hayupo peke yake tu.
Huko CCM sijui ni akina nani wengine ambao wako na Nchimbi kwenye yale aliyoyaongea.
Ccm kwa roho mbaya waliyokuwa nayo yote maovu kwake yanawezekana hivyo bado wakumbuke katiba mpya ni dawa ya uonevu na manyanyaso kwa Watanzania na zaidi Watanganyika.Sijui kama Nchimbi alikuwa amejiandaa kukabiliana na dhahma ambazo zinaweza kumkuta baada ya kufukuzwa kutoka CCM na kuachia madaraka haramu aliyokuwa nayo.
Hapa nawaza tu kama labda watamfungulia mashitaka ya kula njama za kufanya uhaini au mapinduzi au whatever.
Nchimbi, kwa nafasi yake haramu aliyokuwa nayo, atakuwa anajua mengi ya kutosha, hususan yale ya Oktoba 29.
Wakimfungulia mashitaka, watakuwa wamefungua boksi la pandora, jambo ambalo sidhani kama wako tayari kukabiliana nalo.
Nyie mnaonaje? Watamfungulia mashitaka au watamwacha aende zake ila labda watamnyanyasa kwa njia zingine kama kumsumbua kupata mafao [kama anayo], labda kumnyang’anya au kumpunguzia walinzi, na kadhalika.
Ila pia kwenye mambo kama haya mara nyingi mtu huwa hayupo peke yake tu.
Huko CCM sijui ni akina nani wengine ambao wako na Nchimbi kwenye yale aliyoyaongea.