Watalamu Wa Computer mko wap¿

Watalamu Wa Computer mko wap¿

Job seeker 2

Senior Member
Joined
Oct 28, 2018
Posts
178
Reaction score
111
Wakuu kwanza natanguliza salaam kwa wakubwa NA wadogo!
Nina pc yang ya lenovo minicomputer imepata crack kwenye screen sasa hivi imeweka wino ,naomben msaada jins ya matengenezo NA gharama zake
Natanguliza shukran
20181105_105039.jpg
 
Kanunue kioo mpya
Gharama zake kama 150,00


Inverter imeharibu kioo


Najua watakuja watu kusema shida ni mkanda
 
Hahaaaaaaa bora nikae nayo hivo hivo mkuu nikadhan hata 250K
hata laki mbili sidhani kama utapewa hata 150 mkuu labda kama uko mkoa huko maana pc siku hizi bei rahisi kuliko simu za huawei na tecno
 
hata laki mbili sidhani kama utapewa hata 150 mkuu labda kama uko mkoa huko maana pc siku hizi bei rahisi kuliko simu za huawei na tecno
Bora niitumie mwenyewe nitakuwa niminimize page Kaz iendelee
 
hata laki mbili sidhani kama utapewa hata 150 mkuu labda kama uko mkoa huko maana pc siku hizi bei rahisi kuliko simu za huawei na tecno
Hakuna sehemu kuna vijana wanajua ku under value electronic device kama vijana wa kariakoo maeneo ya kongo, agrey na machinga complex....hiyo kukupa 50,000 wala awashituki tena wanaweza kukuambia wamenunua bila maslai....ila nenda wewe unatafuta kitu bei utakayo pewa ni ya devoce mpya na wataisifia kwelikweli
 
Hakuna sehemu kuna vijana wanajua ku under value electronic device kama vijana wa kariakoo maeneo ya kongo, agrey na machinga complex....hiyo kukupa 50,000 wala awashituki tena wanaweza kukuambia wamenunua bila maslai....ila nenda wewe unatafuta kitu bei utakayo pewa ni ya devoce mpya na wataisifia kwelikweli
Nawafaham sana hawa vijana ...ntaenda kwa fundi wang pale Moro Yuko vizur najua atanipa bei nzur
 
Back
Top Bottom