The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,325
- 4,138
Habarini wakuu,wakubwa zangu shikamoni,
Nina modem yangu ya huawei Airtel iko cracked kusoma mitandao yote, hapo awali ilifanya kazi vizuri katika computer zenye window7 8 & 10 lkn sasa nikijaribu Ku connect kwenye computer yangu ya w10 OS inaleta ujumbe huo apo chini, nimejaribu kuinstall upya lkn bado ,nimefanya updation bado ,natanguliza shukran zenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina modem yangu ya huawei Airtel iko cracked kusoma mitandao yote, hapo awali ilifanya kazi vizuri katika computer zenye window7 8 & 10 lkn sasa nikijaribu Ku connect kwenye computer yangu ya w10 OS inaleta ujumbe huo apo chini, nimejaribu kuinstall upya lkn bado ,nimefanya updation bado ,natanguliza shukran zenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app