technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Watakao baki chadema ndio watu wa kuaminiwa na kupewa nchi toka 2015 tayari tumejua wapi wanaipenda Tanzania na wapi ni wasaliti. watu wanaopata misuko suko kipindi cha miaka 5 na bado wakagoma kuhongwa na Magufuli hakika awa watu itabidi tuwaheshimu.
Wale wanaoelewa mambo ya kiusalama watakuwa wamenielewa wanasiasa, wafanyakazi wanaokubali kuhongwa uwa hawapaswi kuendelea kuwepo.
Kwanza kwa nchi makini uwa wakimaliza kuwatumia wanawaua tena ili kuhofiwa kuja kununuliwa tena na upande walipotoka (kuwa double agents)
ningekuwa mimi ni Magufuli ningewatumia halafu baada ya muda ningewapiga risasi wote.
watakao baki chadema mpaka uchaguzi ukapita ndio watu wa kuwaamini na kuwapa uongozi kwa sababu ya uaminifu.
Wale wanaoelewa mambo ya kiusalama watakuwa wamenielewa wanasiasa, wafanyakazi wanaokubali kuhongwa uwa hawapaswi kuendelea kuwepo.
Kwanza kwa nchi makini uwa wakimaliza kuwatumia wanawaua tena ili kuhofiwa kuja kununuliwa tena na upande walipotoka (kuwa double agents)
ningekuwa mimi ni Magufuli ningewatumia halafu baada ya muda ningewapiga risasi wote.
watakao baki chadema mpaka uchaguzi ukapita ndio watu wa kuwaamini na kuwapa uongozi kwa sababu ya uaminifu.