Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,033
Hakika inasikitisha na kushangaza sana hii ROHO ya KISHETANI ya baadhi ya Wanaccm wenye UCHU wa Madaraka kuandaa mpango haramu wa Kumdhalilisha KADA KIONGOZI na Mwanachama mwenzao Chongolo.
Nakipongeza Chama kuamua Kuunda Kamati ya UCHUNGUZI ili kuwabaini wote Waliohusika na UJINGA na UPUMBAVU huo.
USHAURI kwa KAMATI: Chunguzeni kwa kina bila kumwogopa mtu ili haki itendeke Wahusika Watajwe hadharani na hatua kali za kisheria na kijinai zichukuliwe ili iwe fundisho kwa wote Wanaotumia Uhuru wa Mitandao kudhalilisha WATU kwa nia Ovu ya KUPATA MADARAKA.
Nakipongeza Chama kuamua Kuunda Kamati ya UCHUNGUZI ili kuwabaini wote Waliohusika na UJINGA na UPUMBAVU huo.
USHAURI kwa KAMATI: Chunguzeni kwa kina bila kumwogopa mtu ili haki itendeke Wahusika Watajwe hadharani na hatua kali za kisheria na kijinai zichukuliwe ili iwe fundisho kwa wote Wanaotumia Uhuru wa Mitandao kudhalilisha WATU kwa nia Ovu ya KUPATA MADARAKA.