KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 4,387
- 5,896
Haya mambo haya
MUNGU niongezee busara
Haya mambo haya
Naijua hiyooHapanaa, sijawahi kweli tena🤣
Weeee hebu nitumie kwanza koneksheni ya kitoto cha udii kwanza make huko insta kinatrend tu hadi inaleta taharuki kichwaniMmmh Eva mtaalamu siyo poa.
Sisi wanawake 30's na 40's libido ipo imejaa tele.
Utanuna mpaka lini?Haya mambo haya
MUNGU niongezee busara
Mbona wewe chako cha kipare unacho na unatamba nacho?Vibabu vya jf jau🤣🤣🤣
Cheza Kwa nafasi yako, asinichome ili ww upate nafasiHuyo wa chaputa mie nije nikupe vya uswahilin
Hakuna jipya, hata usiumize kichwa.Hiyo sina ila na mimi story nimeziona ila najua kijana wangu wa hovyo Mbaga Jr hawezi kuikosa
Labda huyo uliyekutana naye mbovu, naamini wapo wazuri.Binti wa kichaga hana mapenzi, show yao mbovu,hawana heshima wanapenda tuh hela
🤣🤣🤣 kweli tena.Naijua hiyoo
Sasa mpare amtake nani🙆♂️Mbona wewe chako cha kipare unacho na unatamba nacho?
Cheka mama, najua hali unayopitia😁😁😁 nimecheka sana wallah mbavu zinauma 🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zaidi ya sanaAlooo 😀😀😀 hatari sana
Jipya lazma lipo insta yote inauzungumzia huo uchi, ni kama jambo la kitaifa.Hakuna jipya, hata usiumize kichwa.
Evelyn Salt
Nataka hii🍆🥝Cheka mama, najua hali unayopitia
View attachment 3575604
Sijui nipite na VAR 😎Hapanaa, sijawahi kweli tena🤣
Kwan hujawazoea Wabongo na upuuzi wa kuongelea hizi video?Jipya lazma lipo insta yote inauzungumzia huo uchi, ni kama jambo la kitaifa.
PEleka huu upuuzi wako kule instagramNimewamiss wanajukwaa.
Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story!
- Je wajua kwamba wanawake wana kiungo kimoja mwilini ambacho kazi yake ni kusikia raha tu na hakina kazi nyingine yoyote? Kama unakijua kitaje na utuambie wewe huwa unakishughulikiaje?
- Nifundishe kitu ambacho unahisi nitakua sikifahamu.
- Ukitaka mwenzako aje kwako au awahi kurudi nyumbani kwa sababu unataka akupe mambo, huwa unamuambiaje?
Mie nina 2 ambazo hazijawahi kufeli; Baba ……. urudi mapema leo nina hamu na wewe & mpenzi leo nimepika ……… ila uje kwanza kunila mpishi, niko kitandani nakusubiri.
- Kitu gani ulishawahi kukishuhudia kwa macho na hutakisahau kamwe?
- Ushawahi kukutana na maumbile ya binadamu yakakushangaza? ilikuwaje?
- Kama kawaida: niulize swali lolote nitakujibu!
View attachment 3575053