Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Aahh weee nliogopa sana afu kama alihisi hivi, yule mkaka alikuwa handsome wakati huo nami bado kigoli sjui first Yr ile nimekuwa tu na mwanaume mmoja Wycliffe wangu nikiwa form 6 mpaka hapo tukaja zinguana na mpenzi wangu, ndiyo ukaribu na G ukazidi sio kama tulikuwa hatujuani...hapana tulijuana toka utotoni mdogo wake alikuwa rafiki yangu sana since primary...basi yule kaka katoka zake dar akaja Morogoro nlipokuwa chuo.....aahhh wee sio kwa umbile lile
Maskini, labda baada ya hapo alikua anajishtukia hatari, yani mtu mnajuana toka utotoni na bado dyudyu limekutisha je hao wa kukutana ukubwani itakuwaje.

Inaonekana basi umble lilizidi, hata ningekua mimi ningemtafutia sababu, nani anataka kuchanika 😂
 
Try me 😎
Happy Hour Drinking GIF.gif
 
sitasahau mwl mkuu akanituma nikamwite mwl kwake niktoka spidi mbio nakuta mwl kakunjwa sebuleni na mratibu akipelekewa moto
 
Lazima, lakini nakuomba umpotezee huyo dada huenda penzi limemkolea anashindwa kujizuia! Mapenzi huwa yana nguvu sana..
Aaah wapi tupo tuna endelea kwa uzi mwingine ila saivi nimeamua kumtia moyo tu 😎
 
Lazima, lakini nakuomba umpotezee huyo dada huenda penzi limemkolea anashindwa kujizuia! Mapenzi huwa yana nguvu sana..
Ila wanaume wabaya sa kama mwanaume yupo humu si angemtuliza jamani😢
 
Back
Top Bottom