Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,069
- 2,276
Niliwahi kutana na umbile moja yule kaka akiii sijui niseme ni kubarikiwa ama ni adhabu ile! Alikuwa na limti yule kaka amevua nguo nikasema mama yangu game over nakufa mie😔 hapo hapo ham ikaniishia kuwa naye, ghafla sjasingizia tumbo linauma wacha nigale gale pale kitandani maskini ya Mungu kaka wa watu akavaa nguo kwenda nitafutia japo flagyl, akaniletea nikanywa na habari za mchezo zikaishia hapo maana niliwaza hilo looote aniingizie nikasema hapana I must do something ku rescue maumbile yangu aisee🤣🤣🤣🤣 toka hapo skkuwahi tena kuonana na G nawazaga mke aliyemuoa kwakweli ana kaziUsiku umechangamka, nimewamiss wanajukwaa.
Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story!
5.Ushawahi kukutana na maumbile ya binadamu yakakushangaza? ilikuwaje?