Wataalum wa magari: Taa ya EPS kwenye dashboard inamaanisha nini

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
wife ana suzuki swift la 2004, taa ya EPS kwenye dashboard mara ya pili inagoma kuzima mpaka aendeshe kwa kilomita kadhaa azime na kuwasha tena ndio inazima. Sielewi hii taa ya EPS inamaana gani na tatizo nini? kila fundi ananiambia kivyake, mpaka nimechoka.
 
Hii ni Electronic power steering, Normally, ignition key ikiwa on, taa zote huwaka harafu huzima kukibakiwa na taa ya betri, ukiwasha gar taa zote zinatakiwa zizime.

Kwa kuwa ukiendesha kwa mda ndo inazima, it means kwamba elecronics connections ya hiyo sensor itakuwa na shida kidogo. Primary concern ni uchafu. Mpelekee fund asafishe tu( contact cleaning), I hope tatizo kitakuwa limepungua.
 
Kwa kuongezea tu, inawezekana Ikawa ni Voltage too high, or voltage too low maana yake ni kwamba grounding wire Kati ya Battery na chasis pengine mchafu au umelegea. Kama n hivyo, power inayopelekwa kwenye eps controller inakuwa uncertain.
 
Hii ni Electronic power steering, Normally, ignition key ikiwa on, taa zote huwaka harafu huzima kukibakiwa na taa ya betri, ukiwasha gar taa zote zinatakiwa zizime.

Kwa kuwa ukiendesha kwa mda ndo inazima, it means kwamba elecronics connections ya hiyo sensor itakuwa na shida kidogo. Primary concern ni uchafu. Mpelekee fund asafishe tu( contact cleaning), I hope tatizo kitakuwa limepungua.

Thanks mkuu. shida hawa mafundi nilimpelekea fundi akaniambia eti ni electronic pump system, mafuta yatakuwa hayapandi vizur, nikaona huyo ni kanjanga. fundi gan mzuri unamjua mkuu?
 
Ingekuwa n pump, then taa ikiwaka, steering inakuwa ngumu Kama jiwe kwa maaana kwamba steering fluid inakuwa haifiki, sasa Kama sivyo, it means tatizo siyo hilo. Goja nicheki na fundi wangu, then nitakujuza, japo unambie uko pande zipi. Uki Pm itakuwa vema zaidi
 
Ingekuwa n pump, then taa ikiwaka, steering inakuwa ngumu Kama jiwe kwa maaana kwamba steering fluid inakuwa haifiki, sasa Kama sivyo, it means tatizo siyo hilo. Goja nicheki na fundi wangu, then nitakujuza, japo unambie uko pande zipi. Uki Pm itakuwa vema zaidi

nime ku pm
 
Mkuu mambo yanakwenda kidigital sasa hivi lete mm nikuchekie mkuu nina mashine nitakupimia na mashine bureee kabisa ki jf na kwaheshima ya jamvi hili then itatuambia problem ni nini?? Kwapamoja tutali solve bila garama yoyote mkuu.
Idum jf mm nipo mwenge na ninaweza kukufikia popote ulipo
 
  • Thanks
Reactions: CPA
wife ana suzuki swift la 2004, taa ya EPS kwenye dashboard mara ya pili inagoma kuzima mpaka aendeshe kwa kilomita kadhaa azime na kuwasha tena ndio inazima. Sielewi hii taa ya EPS inamaana gani na tatizo nini? kila fundi ananiambia kivyake, mpaka nimechoka.

Maana!

EPS compares the driver's intended course with the vehicle's actual direction. If a discrepancy is detected, ESP automatically brakes individual wheels and/or reduces engine power to help maintain directional control.

ESP light will may be your ABS sensor(s) (aka wheel speed sensor).

Possible solution!
For the steering wheel angle, I'd find a real alignment pro (find a shop that offers corner balancing) and it would probably be worth having them do a steering component check. You may need new Tie rod ends.



Kwa kiswahili!
Uliwahi kugusa gusa kati ya usukani na matairi ya mbele?
Je matairi yako ya mbele ni ya aina moja na siyo vipara?
Je matairi yako ya mbele ni chata ya aina moja?
Je ukiendesha gari lako linavuta upande mmoja?

Ndugu yangu umenipa kazi nashindwa namna ya kukufanyia
somekind of mechanical description!
Them say diagnosis.

But I hope your car is gonna recover soon!
 
  • Thanks
Reactions: CPA
Maana!

EPS compares the driver's intended course with the vehicle's actual direction. If a discrepancy is detected, ESP automatically brakes individual wheels and/or reduces engine power to help maintain directional control.

ESP light will may be your ABS sensor(s) (aka wheel speed sensor).

Possible solution!
For the steering wheel angle, I'd find a real alignment pro (find a shop that offers corner balancing) and it would probably be worth having them do a steering component check. You may need new Tie rod ends.



Kwa kiswahili!
Uliwahi kugusa gusa kati ya usukani na matairi ya mbele?
Je matairi yako ya mbele ni ya aina moja na siyo vipara?
Je matairi yako ya mbele ni chata ya aina moja?
Je ukiendesha gari lako linavuta upande mmoja?

Ndugu yangu umenipa kazi nashindwa namna ya kukufanyia
somekind of mechanical description!
Them say diagnosis.

But I hope your car is gonna recover soon!

nilishafanya wheel alignment na wheel balance, matairi ya mbele ni mapya na ya aina moja yana kama miezi 2 sasa na gar halivuti kiupande.
 
Mkuu mambo yanakwenda kidigital sasa hivi lete mm nikuchekie mkuu nina mashine nitakupimia na mashine bureee kabisa ki jf na kwaheshima ya jamvi hili then itatuambia problem ni nini?? Kwapamoja tutali solve bila garama yoyote mkuu.
Idum jf mm nipo mwenge na ninaweza kukufikia popote ulipo

poa kiongozi, nitakucheki. cheki pm
 
nilishafanya wheel alignment na wheel balance, matairi ya mbele ni mapya na ya aina moja yana kama miezi 2 sasa na gar halivuti kiupande.

Wewe fundi au Mtumiaji?
Check wiring ya hizo sensor. Labda wakati wa maintanance fundi kuna kitu ameoverlook.
 
Ingekuwa n pump, then taa ikiwaka, steering inakuwa ngumu Kama jiwe kwa maaana kwamba steering fluid inakuwa haifiki, sasa Kama sivyo, it means tatizo siyo hilo. Goja nicheki na fundi wangu, then nitakujuza, japo unambie uko pande zipi. Uki Pm itakuwa vema zaidi
EPS hazitumii steering fluid!
 
Tafuta sehemu wascan gari yako kwa kutumia tech2, OBDII hazisomi code zingine.
 
wife ana suzuki swift la 2004, taa ya EPS kwenye dashboard mara ya pili inagoma kuzima mpaka aendeshe kwa kilomita kadhaa azime na kuwasha tena ndio inazima. Sielewi hii taa ya EPS inamaana gani na tatizo nini? kila fundi ananiambia kivyake, mpaka nimechoka.
Mkuu CPA gari yako bado inadai kabisa, si vizuri kupeleka kwa mafundi wa kubahatisha. Nenda pale DIESEL CITY maeneo ya ubungo river side kama unatokea Ubungo mataa kuelekea Buguruni mkono wakushoto, kila tatizo linatambuliwa kwa mashine na kutatuliwa kwa mitambo ya kisasa.
 
  • Thanks
Reactions: CPA
Kama yakifanyika yote niliyokuelekeza na bado taa inawaka,
Toa betry ya gari yako na kuirudisha baada ya dk kama tano hivi.
Hiyo njia inaitwa CMOS reset.

hapana iliwaka juzi na mwezi uliyopita, baada ya kutembea kidogo nikazima na kuwasha tena, taa ikazima, haijawaka tena, shida yangu kwanini imetokea mara ya pili?
 
Back
Top Bottom