proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Ninahitaji kuwa na mtu/ binti atakayesaidia shughuli ndogondogo kama vile usafi , kutumwa posta na kwingineko .
Atakuwa anakuja asubuhi muda wa kufungua ofisi na anaondoka muda anaomaliza majukumu ya usafi.
Je, ni mkataba wa aina gani natakiwa kuingia nae ili isije nisumbua baadae?
Kumbuka sitaki kumwajiri.
Atakuwa anakuja asubuhi muda wa kufungua ofisi na anaondoka muda anaomaliza majukumu ya usafi.
Je, ni mkataba wa aina gani natakiwa kuingia nae ili isije nisumbua baadae?
Kumbuka sitaki kumwajiri.