Wataalamu wa satellite dish nisaidieni hii lnb ya SINGLE SOLUTION

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
Wakuu habari za mida,naombeni msaada kwa wanaoifahamu vizuri hii lnb ya SINGLE SOLUTION inafanyaje kazi na sehemu zipi na ipi tofauti yake na hizi c-band lnbf za kawaida na ili ifanye kazi inatakiwa kwenye risiva antena cofiguration iweje pale kwenye LNB HIGH FREQUENCY na LNB LOW FREQUENCY naombeni mwongozo kwa waliokwishaifanyia installation.
 
Kwa kawaida hii inatumika sana kwa maeneo ambayo yana vizuizi,mfano majengo,milima mirefu,au miti. Nadhani kuna watu wanaofahamu zaidi bila shaka watatoa maelezo ya ziada.
 
Kwa kawaida hii inatumika sana kwa maeneo ambayo yana vizuizi,mfano majengo,milima mirefu,au miti. Nadhani kuna watu wanaofahamu zaidi bila shaka watatoa maelezo ya ziada.

ina2mika kwa maeneo yenye minara ya simu inayosababisha sat frequences zisiwe stable. Unafanya hivi, kwa frequencies zote zenye Horizontal polarisation toa 600 eg 4280 H 27500 itakuwa 3680 H 27500. Lingine wakati mnanunua LNB hakikisheni frequency range imeandikwa 3.4GHZ-4.2GHZ. Ukinunua yenye 3.7ghz-4.2ghz utamis tvs zenye low frequencies
 
ina2mika kwa maeneo yenye minara ya simu inayosababisha sat frequences zisiwe stable. Unafanya hivi, kwa frequencies zote zenye Horizontal polarisation toa 600 eg 4280 H 27500 itakuwa 3680 H 27500. Lingine wakati mnanunua LNB hakikisheni frequency range imeandikwa 3.4GHZ-4.2GHZ. Ukinunua yenye 3.7ghz-4.2ghz utamis tvs zenye low frequencies

Asante boss ngoja nijaribu nikishindwa nitakujulisha
 
ina2mika kwa maeneo yenye minara ya simu inayosababisha sat frequences zisiwe stable. Unafanya hivi, kwa frequencies zote zenye Horizontal polarisation toa 600 eg 4280 H 27500 itakuwa 3680 H 27500. Lingine wakati mnanunua LNB hakikisheni frequency range imeandikwa 3.4GHZ-4.2GHZ. Ukinunua yenye 3.7ghz-4.2ghz utamis tvs zenye low frequencies

Vipi kama nitaitumia kwa ajili ya local chnls zetu kwa eneo lenye miti mirefu? Je naweza kuingiza freq kama zilivyo? Eg. 3644v8545,nk
 
ina2mika kwa maeneo yenye minara ya simu inayosababisha sat frequences zisiwe stable. Unafanya hivi, kwa frequencies zote zenye Horizontal polarisation toa 600 eg 4280 H 27500 itakuwa 3680 H 27500. Lingine wakati mnanunua LNB hakikisheni frequency range imeandikwa 3.4GHZ-4.2GHZ. Ukinunua yenye 3.7ghz-4.2ghz utamis tvs zenye low frequencies

Vipi kama nitaitumia kwa ajili ya local chnls zetu kwa eneo lenye miti mirefu? Je naweza kuingiza freq kama zilivyo? Eg. 3644v8545,3884h4900,nk
 
Jinsi ya kuseti lnbf c band .single cable solution . Kwenye low lnbf frep weka 5750. Ukimaliza kusevu rudi kwenye chanel kagua chanel zako. Yani. Zile za vertiko na horzonto je zipi zinaonye ? Kama zitaonyesha za horzonto jua za vetiko hazita honyesha hili zionye itabidi frep zote za v ujumrishe na 600 yani kama tbc ni 3891+600.=4491 kwa unakiwa uweke hivi 4491v4445 hii ni kwa chanel zoto za vetiko. Lnb hii inauwezo wa kukotroo risiva 10 kwa wakati mmoja. Pia inauwezo wa kufanya kazi ktk maeneo yenye minara mingi ya simu au intaneti .majenereta . Aina nzuri ya lnb hii ni eurostar au startrack. Gulfstar inafanya vizuri kwenye dish ya ft 8
 
Gulfstar yangu (c band) local channels haipati kabisa Star tv na Ch.10 nazopata ni Tbc1, eatv, itv, capital, tvm1, tvm2 na Tim. nisaidieni wataalam wa hii,
dish ni futi 6
 
Back
Top Bottom