Chukua itafaaChuo kusomea na yatakayowezekana
Sana mkuuKwahyo baada ya chuo inaweza sogeza baadhi ya mambo binafsi ya muhimu?
Kwa bio bei specification sio mbaya, ila kama unataka machine long term unahitaji angalau gen ya 8 kupanda, ila hutapata kwa laki 5.Natak nikichukua iwe long term kidogo so apart from kusomea ni vitu gani labda itafaa huko mbelen?
Em ilo chimbo nielekeze na ulichukua bei ganKama 550K kwa Hizo Specs Alfu Used Si sawa Sana,Labda Ingekuwa Refurbished Hapo sawa.Used hiyo Unaweza Pata Kwa 450K au Below.Mm Nilipata
8GB Ram,500 HDD pia Ilikuwa Na SSD 256
,Core i5,Touch screen Kwa Bei Kitonga Sana.
Ukiyajua Machimbo Lakini
At minimum kama laki 7 mkuu, na ukipata yenye dedicated nvidia itakua vizuri zaidi hata kama ni lowend.Itakuwa kias gan?
Make kwanza nichekeKama siyo mpya usichukue
Kwani hij ni generation gani mkuuu 🤔Kwa bio bei specification sio mbaya, ila kama unataka machine long term unahitaji angalau gen ya 8 kupanda, ila hutapata kwa laki 5.