Wataalamu wa movies

Wataalamu wa movies

Duh!!!!!hizo green screens nadhani bongo hazijafika
 
MODERATORS PLEASE! HUU UZI MUWEKE STICK ILI WATU MBALI MBALI WAMWAGE UJUZI WAO KATIKA KUTENGENEZA MOVIES NA SIE WANAFUNZI TUJIFUNZE
 
Mambo mengi ni computer na kuna programs za kutengenezea. Kuna baadhi ya movie zipo chini ya udhamini wa serikali na huwa zinatengenezwa kuonesha uwezo labda kijeshi wa nchi Fulani. Wanaweza rusha ndege na ikatua salama ila kuharibiwa ndege magar majumba au kuuawa kwa watu ni computer tu.
 
Sehemu nyingi Computer inahusika, pale hamna gari inayoumia wala ndege inayotunguliwa.
Ila kwa gari na kukatalia gari huwa zinaumia.... Sema wakati wa kutengenezewa ajali ndani yake kunakuwa hakuna mtu au wanaweka mfano wa mtu.... Watu wanacheza na vity vyao utaona gari limepinduka baada ya hapo mtu anawekwa kwa lile gari aonekana kuwa anatokea humo... Movie ni gharama
 
Wanstumia studio za tv...clouds tv...itv...etc..
yale ma nacground ya nyuma ya watangazaji
Hiyo hufanyika hivi:- mtangazaji anapokaa nyuma yake kuna kitambaa cha kijani au blue ila asivae nguo yenye rangi sawa na kitambaa kilicho nyuma yake..
Kisha camera inayomrecord inapeleka picha katika computer then editor anafanya kitu kinaitwa chroma key yaani kufuta background ya nyuma na kuweka nyingine.
 
Wakubwa Mimi ni miongoni mwa wapenzi wakubwa wa kucheck movies,ila movies ninazozipenda ni action,vita na zile za kutisha japo Mara nyingine huwa napenda pia tamthilia za kisiasa sna ujasusi za Korea.Maswali yangu kwenu wataalam hv
1)Zile halaiki au makundi makubwa ya watu tunaowaona ktk vita wakiuana kwa mabomu na bunduki hv wale wote ni washiriki wa hzo movies na kama ni washiriki je wanalipwa?
2)Zile movie za kivita Mara nyingi huwa naona wanatumia madege,mizinga na silaha kubwa Hivi vitu huwa wanavikodi serikalini au ni vyao wahusika?
3)Yale mamovie ya kutisha mfano "The wrong turn",wale watu wanaokatwakatwa kama ngo'mbe buchani hv huwa inakuaje..mpk smtms unasahau kama ni maigizo.
Anayejua mambo hayo anitoe ushamba.
Ya! Mara nyingi wanatumia vitu vya kweli kabisa. Kama vile magari, location ila inatagemea na muvi yenyewe. Kwa mfano Wrong turn, vitu vingi ni halisi. Hata wale mutants ni costuming tuu imefanyika pale. Hata wanaporushwa na mlipuko ni kamba zinazotumika wakati wa kushoot muvi. The rest ni computerized.
 
mambo ya teknolojia hayo wenzetu wapo mbali sana kiteknolijia,,hata me pia nilikua najiuliza kama wewe lakini nilikuja kuelewa washkaji wanaedit kupitia teknolojia zao za kisasa tembelea youtube pia utaona wanavyofanya atleast utapata picha kamili.
 
Back
Top Bottom