Wataalamu wa movies

Wataalamu wa movies

Boutafrica

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
1,260
Reaction score
2,745
Wakubwa Mimi ni miongoni mwa wapenzi wakubwa wa kucheck movies,ila movies ninazozipenda ni action,vita na zile za kutisha japo Mara nyingine huwa napenda pia tamthilia za kisiasa sna ujasusi za Korea.Maswali yangu kwenu wataalam hv
1)Zile halaiki au makundi makubwa ya watu tunaowaona ktk vita wakiuana kwa mabomu na bunduki hv wale wote ni washiriki wa hzo movies na kama ni washiriki je wanalipwa?
2)Zile movie za kivita Mara nyingi huwa naona wanatumia madege,mizinga na silaha kubwa Hivi vitu huwa wanavikodi serikalini au ni vyao wahusika?
3)Yale mamovie ya kutisha mfano "The wrong turn",wale watu wanaokatwakatwa kama ngo'mbe buchani hv huwa inakuaje..mpk smtms unasahau kama ni maigizo.
Anayejua mambo hayo anitoe ushamba.
 
ni washiriki na wanalipwa kama kawaida kwa habari zaidi nenda youtube utafute behind the scene za movie ulizotazama ndo utapata ukweli kilichofanyika na kilichotumia utaalamu wa kompyuta
 
ni washiriki na wanalipwa kama kawaida kwa habari zaidi nenda youtube utafute behind the scene za movie ulizotazama ndo utapata ukweli kilichofanyika na kilichotumia utaalamu wa kompyuta
Na hz behind the seen mbona kama zinatoa ladha ya movie? Hv ukiangalia movie na kuimaliza kisha ukatazama zile behind seen hv utarudia tena kucheck hy movie?
 
Na hz behind the seen mbona kama zinatoa ladha ya movie? Hv ukiangalia movie na kuimaliza kisha ukatazama zile behind seen hv utarudia tena kucheck hy movie?
WANAKUONYESHA SEHEMU ZILIZOWAPA SHIDA KUIGIZA TU
 
Sehemu nyingi Computer inahusika, pale hamna gari inayoumia wala ndege inayotunguliwa.
 
Kila kitu ni maigizo tuu hamna ukweli wowote ndio mana zinaitwa movie
 
Mara nyingi huwa wana 1.duplicate(kutoa copy)ya watu wachache na wengine wanawaongezea kama holywood set ya wandaaji wa movi huwa wengi pia wanaweza ku act hizo part.
2. Pia ni wakali wa kutumia CGI softwares na zile screens za editing kama blue,green,yellow screens wanaweza ongezea watu wachache kuwa wengi.
3.kuongezea midoli kwenye set ya movi na ku edit wapiganaji pamoja na ile midoli.
4. Kuingizia ka giza flani kwenye baadhi ya movie set kuongezea watu inakuwa rahisi na pia kurudia rudia picha hizo kwa wingi na ku edit pamoja.

Ila vyote kutengeneza sinema sio process ndogo ili kupata picha halisi ya director anayotaka na kuhahakikisha itawagusa waangaliaji inachukua mda sana kuhahakikisha kila frame ya movie inaenda vizuri, mfano matrix part 2 walitengeneza barabara nzima na kununua magari zaidi ya 200 ku shoot kipande cha dakika 5
 
Wana edit kupitia kitu inaitwa Green screen yani hiyo green screen ikiwekwa nyuma ya hao waigizaji basi wanaweza fanya lolote
1477760197080.jpg
1477760221555.jpg
1477760242566.jpg
1477760256589.jpg
 
Movie ukiniwekea behind the scene daaah ina boa sana.
Hata video za kibongo sikuhizi wanakomaa na kuweka behind the scene huwa inapoteza uhalisia wa movie husika.
Wakati wenzetu wao wanaonesha sehem ambazo ziliwapa shida ku act.
 
Mara nyingi huwa wana 1.duplicate(kutoa copy)ya watu wachache na wengine wanawaongezea kama holywood set ya wandaaji wa movi huwa wengi pia wanaweza ku act hizo part.
2. Pia ni wakali wa kutumia CGI softwares na zile screens za editing kama blue,green,yellow screens wanaweza ongezea watu wachache kuwa wengi.
3.kuongezea midoli kwenye set ya movi na ku edit wapiganaji pamoja na ile midoli.
4. Kuingizia ka giza flani kwenye baadhi ya movie set kuongezea watu inakuwa rahisi na pia kurudia rudia picha hizo kwa wingi na ku edit pamoja.

Ila vyote kutengeneza sinema sio process ndogo ili kupata picha halisi ya director anayotaka na kuhahakikisha itawagusa waangaliaji inachukua mda sana kuhahakikisha kila frame ya movie inaenda vizuri, mfano matrix part 2 walitengeneza barabara nzima na kununua magari zaidi ya 200 ku shoot kipande cha dakika 5

Hakuna Yellow screen
 
1.movie zinazotumia watu wengi sana mfano zile zinazoonesha empire au ufalme kuna washiriki Wa aina mbili wanao kuwa halisi na wengine ni computure generated image(CGI).
2.Green screen inatumika Kuondoa background kwasababu ni rangi pekee isiyopatikana kwenye mwili Wa binadamu..mfano.ukiyumkitambaa cheusi unapotoa background itaingilia ngozi na kuharibu picha.kitambaa cha bluu hutumika pia kama mbadala japo green screen ndo hufanya kazi kamilifu zaidi.
3.kuhusu Movie za kutisha kama wrong turn n.k.kinachofanyika ni kitu kinachoitwa BFX.ambayo inahusisha utengenezaji Wa make up aina zote.kama Damu..mikono fake..vichwa vya binadamu n.k.na baada ya hapo editing hufanyika kuunga picha na kuleta kila kitu kwenye uhalisia.
 
Computer tu.utakuta kama mji Fulani.labda new York unateketezwa woteee.hauwezi amini zile ni picha tu zimepigwa.alafu wanakuja kuziunganisha kwenye computer. kuna filamu za kivita hawaendi Vietnam wala nini.pale pale Hollywood. Wanatengeneza.achana na mzungu
 
Mara nyingi huwa wana 1.duplicate(kutoa copy)ya watu wachache na wengine wanawaongezea kama holywood set ya wandaaji wa movi huwa wengi pia wanaweza ku act hizo part.
2. Pia ni wakali wa kutumia CGI softwares na zile screens za editing kama blue,green,yellow screens wanaweza ongezea watu wachache kuwa wengi.
3.kuongezea midoli kwenye set ya movi na ku edit wapiganaji pamoja na ile midoli.
4. Kuingizia ka giza flani kwenye baadhi ya movie set kuongezea watu inakuwa rahisi na pia kurudia rudia picha hizo kwa wingi na ku edit pamoja.

Ila vyote kutengeneza sinema sio process ndogo ili kupata picha halisi ya director anayotaka na kuhahakikisha itawagusa waangaliaji inachukua mda sana kuhahakikisha kila frame ya movie inaenda vizuri, mfano matrix part 2 walitengeneza barabara nzima na kununua magari zaidi ya 200 ku shoot kipande cha dakika 5
Bongo hapa wiki tu.film IPO sokoni.ndo maana uwa siwez kuangalia movie zetu.
 
Back
Top Bottom