passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,578
- 3,148
wakuu habari za uzima?
Tukiwa tunaendelea kusheherekea siku ya mama yetu mpendwa mheshimiwa samia suluhu Hassan na bata la mama. Nimeona leo nije kuuliza jambo baada ya kukutana na mtu aliyenipa mawazo kuhusu biashara hii ya madini.
Wataalamu na wajuzi wote katika sekta hii ya madini naombeni kuuliza nina hitaji kupata maarifa.
Nilipokuwa naendelea na bata la mama kuna mtu akaniambia hapa bongo wanatengeneza mashine za kupepeta mchanga wa madini na inaweza ku cost 9-10 milioni.
Nahitaji mtu aliyena uelewa ndugu zangu nikiamini JF ni sehemu yenye maarifa mengi sana.
Kuna mtu nilimuona akichangia kuhusu Hivi vitu kipindi cha nyuma
Bufa na wengine wote karibuni nipo hapa kujifunza.
Ahsante.
Tukiwa tunaendelea kusheherekea siku ya mama yetu mpendwa mheshimiwa samia suluhu Hassan na bata la mama. Nimeona leo nije kuuliza jambo baada ya kukutana na mtu aliyenipa mawazo kuhusu biashara hii ya madini.
Wataalamu na wajuzi wote katika sekta hii ya madini naombeni kuuliza nina hitaji kupata maarifa.
Nilipokuwa naendelea na bata la mama kuna mtu akaniambia hapa bongo wanatengeneza mashine za kupepeta mchanga wa madini na inaweza ku cost 9-10 milioni.
Nahitaji mtu aliyena uelewa ndugu zangu nikiamini JF ni sehemu yenye maarifa mengi sana.
Kuna mtu nilimuona akichangia kuhusu Hivi vitu kipindi cha nyuma
Bufa na wengine wote karibuni nipo hapa kujifunza.
Ahsante.