Wataalamu wa lugha, tusaidieni

PAZIA 3

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
1,074
1,855
1.Nini asili ya neno ''KISWAHILI'' nimegoogle zijaipata
2.Ni ipi maana sahihi ya push-up kwa kiswahili,ukiachilia mbali ''kushinikiza?
3.Kuruka ki-chura chura,nashauri ibadilishwe tuwe na neno moja kwa kiswahili, ''KWIRUKARUKA''
 
Back
Top Bottom