Wataalamu wa kodi emu tupeni elimu

Wataalamu wa kodi emu tupeni elimu

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,719
Reaction score
4,305
Hivi kama mtu haupo kwenye vat,ukiandaa hesabu za mizania ya mwaka unatakiwa manunuzi uweke yote yenye vat na bila vat au unatakiwa uweke yabila vat? Toeni elimu
 
Back
Top Bottom