Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

Kwanza hapo shida kubwa ni poor communication kati ya client na developer , pili inaonesha iyo system hakufuata system development stage kwasababu kwenye design phane kuna kitu kinaitwa system acquisition strategies ambazo zipo tatu nazo ni customer development ambayo ina building code from scratch , package software na outsourcing kwaiyo right mngekuwa mna wasiliano ivyo vitu ilitakiwa vifanyiwe selection kabla ya system coding haijafanyika.
 
Kwanza hapo shida kubwa ni poor communication kati ya client na developer , pili inaonesha iyo system hakufuata system development stage kwasababu kwenye design phane kuna kitu kinaitwa system acquisition strategies ambazo zipo tatu nazo ni customer development ambayo ina building code from scratch , package software na outsourcing kwaiyo right mngekuwa mna wasiliano ivyo vitu ilitakiwa vifanyiwe selection kabla ya system coding haijafanyika.
Japo money is supposed to take care of evrything na wao kama developers walipaswa kuwa wana report every progress as they have been paid to do so , still client alijaribu ku play part yale kuwa push kama alivyo sema.
Halaf unaanzaje ku develop tuumwanzo mwisho bila kum consult mwenye kaz a aprove kila phase unayodha imekamilika?
 
Japo money is supposed to take care of evrything na wao kama developers walipaswa kuwa wana report every progress as they have been paid to do so , still client alijaribu ku play part yale kuwa push kama alivyo sema.
Halaf unaanzaje ku develop tuumwanzo mwisho bila kum consult mwenye kaz a aprove kila phase unayodha imekamilika?
Umeongea kitu kizuri sana hata sisi developer tujifunze kumsikiliza client nini anataka kikubwa developer tubaki kama washauri , kingine feedback kwa kila stage ni muhimu sana ndo maana wazungu wanasema output of one stage is the input of next stage
 
Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao na ka kampuni kao uchwara) na mmoja kasoma US mwingine China. Nikawapa 15,000,000/= waanze kazi. Hii ni baadhi ya malipo ya awali.

Miezi mi4 hakuna feedback. Tukasema tusubiri labda jamaa wako kazini. Miezi 6 hola. Miezi 12 hola. Huku na huku nikapigiwa simu kazi tayari. Nikasema poa. So nilikuwa mbali. Nikamtafuta software engineer ni mkenya afanye testing. Aisee jamaa alicheka sana. Ikasema hao vijana wamegoogle templates wameedit na kupachika na ni bogus development.

Idea ilikuwa kuwa na software inayotrace magari ya kumpuni, yako wapi, yametembea kilo ngapi and other staffs-Real time data.

Wakaishia kutengeneza utopolo tu. I guess wako humu pia. Ilibidi tulipe upya tukapeleka project Rwanda. Vijana wamedesign from scratch na within 4 month wamekabidhi kazi.

Sasa naelewa kwa nini watu hawataki kuwekeza kwenye IT Bongo. Ujinga mtupu. Hawa vijana wetu wafuge tu kuku kwa kweli. Hivi nyie ndo mtaweza hata kushindana na Bolt+uber?.

Anyway sijui CS/IT mnafundishwa nn huko vyuoni. Natamani kujua mitaala yenu.

100% disappointed.
OK nimeisoma ngonjera yako ila haijaingia upstairs Vipi wewe unampa mtu kazi na hela juu bila kuingia mkataba mbele ya legal bodies? And Mbona io software project unayoongelea ni kazi ndg...Kuna legacy Software ngumu na bado watu tunameet deadline.

Hii ni professional ya watu kijana kuwa na adabu matapeli kila idara sasa wewe ulipigwa na tofali Yes kuna makampuni yameanzishwa kitapel ili kupiga watu Ungeomba kuelekezwa ni kampuni gani ya Software devOps nzuri Tungekuelekeza....
 
Mkuu guzman_ uzi wako huu umenifanya nijiskie uchungu sana sana ukizingatia mimi ni a computer science guy.
Lakin yote katika yote umezungumza ukwel kwa 50%.Na kilichonishangaza zaid ni hapo kwa hao jamaa kuwa wamesoma nje ya mipaka ya Tz na africa ambapo huwa tunaamin kuwa ndio kuna maarifa makubwa na elim kubwa.Strange kushindwa kufanya kaz kama hiyo.

Ofcz naweza kuku critisize kwenye baadha ya fact as umeongea kwa uchungu wa kupigwa hela na kupotezewa muda but tuyaache hayo kwakua sio ya msingi sana.

All in all hawa watu wengi ambao ni wabovu kwenye haya mambo ndio wanatuharibia sana soko sie wengine wachache.Unakuta wana download ma "open source codes" hukoo wanakuja ku paste even without knowing the stuf in detail .(ofcz is not a crime as standard za ku practise coding now days zime badilika kwa kurahishwa zaid).

But kuna watu compitent sana tu hapa bongo.Ni vile ulibabaika na ma cv ya china na america au hukua na aproach nzuri ya ku get intouch with real people.

NB
Sema bongo kuna bogus wengi sana with smart and convincing appearances 😂😂
At least mkuu umeapreciate hili suala. Nimeandika wote kwa maana ya lugha ya picha najua wako wazuri, ni wachache kuwapata ndo shughuli. Nimeshangaa sana vijana wenye mastas wanashindwa kitu kidogo sana wakati wenzao wana vidigrii tu wameiweka sawa mpaka boss anatabasamu. Nitaishare hapa soon atleast website mjue wenzenu tu hapo kwa dikteta wanavyojua mambo.
 
OK nimeisoma ngonjera yako ila haijaingia upstairs Vipi wewe unampa mtu kazi na hela juu bila kuingia mkataba mbele ya legal bodies? And Mbona io software project unayoongelea ni kazi ndg...Kuna legacy Software ngumu na bado watu tunameet deadline.

Hii ni professional ya watu kijana kuwa na adabu matapeli kila idara sasa wewe ulipigwa na tofali Yes kuna makampuni yameanzishwa kitapel ili kupiga watu Ungeomba kuelekezwa ni kampuni gani ya Software devOps nzuri Tungekuelekeza....
Nilitegemea hii response mana najua hawa vilaza wapo humu ndani. Inshort tuliingia nao contract na kuna signed documents sitaki kuzielezea hizo mana nikiamua kuwapeleka mahakani is a matter of pressing a button. Mimi ni mtu ninayepuuza sana siwezi kutoka niliko nianze kufuatilia kesi ya mil 15. Ishu hapa IT gani unashindwa kudesign kitu kidogo kama hicho ana isitoshe unaenda kucopy paste huko. In short nyie ni zero kabisa except wale wachache sana. Na mmejaa usanii wa kijinga tu. Sorry to say that. Inaniuuma sana sio kwa hela ila kwa incompetence yenu.
 
Kuna kitu nimesema hapo juu..standards ziku hiz zime change sana.na ziko more simplified.. (perhaps hiz ndio negative impacta zenyewe..maana wewe uchukua template hii na mwingine by coisedence naye a utilize same template japo kwa scope tofauti, mnajikuta the outlook ni the same..)

NB.
Coding from scratch bado wapo watu wanafanya brother
Sio Tanzania mkuu. Ni wachache sana. Ni ngumu kuwapata.
 
Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao na ka kampuni kao uchwara) na mmoja kasoma US mwingine China. Nikawapa 15,000,000/= waanze kazi. Hii ni baadhi ya malipo ya awali.

Miezi mi4 hakuna feedback. Tukasema tusubiri labda jamaa wako kazini. Miezi 6 hola. Miezi 12 hola. Huku na huku nikapigiwa simu kazi tayari. Nikasema poa. So nilikuwa mbali. Nikamtafuta software engineer ni mkenya afanye testing. Aisee jamaa alicheka sana. Ikasema hao vijana wamegoogle templates wameedit na kupachika na ni bogus development.

Idea ilikuwa kuwa na software inayotrace magari ya kumpuni, yako wapi, yametembea kilo ngapi and other staffs-Real time data.

Wakaishia kutengeneza utopolo tu. I guess wako humu pia. Ilibidi tulipe upya tukapeleka project Rwanda. Vijana wamedesign from scratch na within 4 month wamekabidhi kazi.

Sasa naelewa kwa nini watu hawataki kuwekeza kwenye IT Bongo. Ujinga mtupu. Hawa vijana wetu wafuge tu kuku kwa kweli. Hivi nyie ndo mtaweza hata kushindana na Bolt+uber?.

Anyway sijui CS/IT mnafundishwa nn huko vyuoni. Natamani kujua mitaala yenu.

100% disappointed.
Weka jina la Kampuni wazi ili wasije wakawatapeli Watanzania wengine
 
Na wana bahati sana na strategy nzuri za kuvutia wateja.Wanapoharib halaf tunatokea sie wengine bas hata fursa ya kusikilizwa hupati.

Kuna project yangu flan i was introducing to institution flan hiv upcountry (nilifanya hiv purposely cz town dar hawa programmer uchwara wameshachua kabis haki ya hewa)

Nitawaelezea clients wawil kati ya wengi niliokutana nao.

1.Wa Kwanza.
Baada ya kufanya presentation na demo it took them over 3 months kufanya baxkground check na kujiridhisha kuhus what i was offering.
Wakaja nichek December 2021 kwamba "aisee now we want to deploy ur software kwenye kaz zetu,lets so the system"
Tulipoanza kaz yule boss akanambia akasema tulishakua na system kama hii yako ila haiku deliver kabisaaa..Na kila tulipokua tunawa consults technicians ili wafanye adjustments flan flan wakawa wanapiga chenga af wanaona kama tunawasumbua.Baada ya muda na kufanya juhud za hapa na pale tukagundua kuwa hawana uwezo huo tukaachana na hii kitu na tuli invest pesa nying sanaaaa...aka login kwenye system hiyo akanionyesha na nilishangazwa sana.
Siku comment anything negative nikamwambia tu kuwa " most of programmers do not own these solutions..They grab them from somewhere and yet they cant customize them good enough.

So iliwachukua muda kuni trust.But they doing so fine now rest assured.

2. Wa PILI.
nimechoka kuandika.😁
Mkuu hili ni tatizo kubwa sana. Mliokuwa wazuri mjibrand. Mana tunashindwa kuwafilter nyie tunaishia kwenye hawa matapeli. Kuna ndugu yangu ana hospitali alitaka kuweka monitoring systems some sort of. Alihangaika sana mpaka akaenda kwenye hospitali moja ya wahindi akaadopt mfumo wao.
 
Huna tofauti na wanawake wanaosema ' wanaume wote ni mbwa'...
Ulitafuta kampuni ngap? Kabla ya kuwakabidhi kazi?..kazi zao walizofanya ulipata nafas ya kuziona?
Nina testimonies kama 3/4 watu wengi wanavyoangushwa na hawa IT wa bongo. Some response humu utajua kuwa kunashinda mahali. I know wako wazuri ila wachache ila wengi ni tia tia maji tu. Na nafikiri wengi wazuri hawana hata kampuni.
 
Asili ya mbongo ni msanii msanii anayependa short cut hataki kujifunza wala kuumiza kichwa na sasa GOOGLE ndio imekuwa kichaka cha wavivu

1. Tuna degree za google ni copy and paste library vitabu hawasomi

2.Tuna P.H.D za google unakuta mtu kaandika likitabu kuubwa hata ndani yake hajui kuna nini, akisha search ile key word basi ana copy nzima na kubandika , sasa ukutane na cover alivyoliremba na tittle ilivyondefu utadhani kafanya tafiti kweli

4.Hili suala la IT ndio ugonjwa wa Taifa kabisa, unakuta kuna vijana wengi wana ma vyeti ya kutisha lakini ukiwa na kampuni na unahitaji mfumo lazima uende india bila hivyo mbongo atakusimulia hadithi za abunwasi za programing ukimpa kazi ndio anarudi kwa BABA WA WAVIVU MZEE MWENYEWE GOOGLE

P.H.D ni kitu gani hicho?
 
Back
Top Bottom