MGuccI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,480
- 1,139
Nilishatumia samsung S4 miezi kadhaa iliyopita, right now natumia samsung galaxy E7, But i just want to test ladha ya hizi samsung note.. Nataka kuagiza note 3 soon.. Wataalamu naomba mniambie/mnishauri..
Je ntakuwa nimepoteza uelekeo au..?
Sina experience sana na hizi note..
" Sorry for this thread kama kuna waty ntawakwaza.. " kcamp Chief-Mkwawa
Je ntakuwa nimepoteza uelekeo au..?
Sina experience sana na hizi note..
" Sorry for this thread kama kuna waty ntawakwaza.. " kcamp Chief-Mkwawa