Wataalamu naomba ushauri kuhusu samsung note 3

MGuccI

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
1,480
1,139
Nilishatumia samsung S4 miezi kadhaa iliyopita, right now natumia samsung galaxy E7, But i just want to test ladha ya hizi samsung note.. Nataka kuagiza note 3 soon.. Wataalamu naomba mniambie/mnishauri..
Je ntakuwa nimepoteza uelekeo au..?
Sina experience sana na hizi note..

" Sorry for this thread kama kuna waty ntawakwaza.. " kcamp Chief-Mkwawa
 
Mkuu,kama alivyosema Chief-Mkwawa,Samsung Note 3 ni nzuri zaidi kama wasemavyo vijana wa mjini "tamu" zaidi.

Mkuu nataka agiza brand new... Lakini nimeangalia GSm arena nimegundua kuwa zipo zingine zina 4G na zingine hazina....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom