Wataalamu feki wa mapenzi.....

Wataalamu feki wa mapenzi.....

Joined
Feb 9, 2014
Posts
20
Reaction score
6
KUNA watu humu ndani wanachukua kazi za watu wengine na kujifanya wameandika wao. Nimeona wengi wanachukua makala zangu za magazetini kwenye mitandao na kuziweka humu wakijifanya wameandika wao! Siyo sawa. Buni chako. Nawapongeza wanaochukua kazi zangu na kuandika jina langu kuwa ndiye mwandishi, lakini wapo wasio wastaarabu waaochukua na kuweka byline zao kama ndiyo waandishi.
Siyo sahihi. Mimi huwa natafiti mwenyewe kisha naandika. Sijawahi kuchukua makala kwenye mitandao wala kutafsiri kutoka mitandao ya nje. Hizi kazi zina hakimiliki jamani!!!!!
 
hebu nikumbushe utalaam huo wewe uliupatia wapi vile au chuo gan ?
 
wewe unapowaita wenzio watalaam feki, wewe utalaam umeutoa wapi zaidi ya kugoogle na kuchange in swahili content hadi unajiita mtalaam
Kama una makala yoyote ambayo una ushahidi kuwa nimeitafsiri, iweke hapa. Niaatcha kuandika kuanzia siku hiyo! Si kutafsiri tu, hata kuchukua idea ya mtu. Naandika kutoka kichwani mwangu. Mimi siyo mvivu na ninajua ninachokifanya. Naandika kwa mwaka wa kumi sasa!
 
Mwenye kuelewa aelewe, asiyeelewa abaki hivyo hivyo, ninachokizungumza ni haki za uandishi dunia nzima. Huwezi kuchukua kazi ya mtu bila kutoa credit. Hizi kazi zina hakimiliki.
 
Mwenye kuelewa aelewe, asiyeelewa abaki hivyo hivyo, ninachokizungumza ni haki za uandishi dunia nzima. Huwezi kuchukua kazi ya mtu bila kutoa credit. Hizi kazi zina hakimiliki.

Nahiyo hakimiliki amekupa nani?
 
Kama una makala yoyote ambayo una ushahidi kuwa nimeitafsiri, iweke hapa. Niaatcha kuandika kuanzia siku hiyo! Si kutafsiri tu, hata kuchukua idea ya mtu. Naandika kutoka kichwani mwangu. Mimi siyo mvivu na ninajua ninachokifanya. Naandika kwa mwaka wa kumi sasa!

Sidhani kama upo sahihi sana kusema hujawahi hata kuchukua idea ya mtu. Maana tafiti zote hujengwa katika kutambua gap lililopo ambalo kimsingi ni baada ya kusoma kazi za watu wengine na kujua wao wameishia wapi ili nawe uendelee zaidi.

Other wise utakuwa unabase kwenye emotions zako kutoa suluhisho la jumla katika huo uandishi wako.
 
watu wengine hawajui "citation" and "referencing". Huko kwenye academic area inaitwa "plagiarism"
 
Sidhani kama upo sahihi sana kusema hujawahi hata kuchukua idea ya mtu. Maana tafiti zote hujengwa katika kutambua gap lililopo ambalo kimsingi ni baada ya kusoma kazi za watu wengine na kujua wao wameishia wapi ili nawe uendelee zaidi.

Other wise utakuwa unabase kwenye emotions zako kutoa suluhisho la jumla katika huo uandishi wako.
you are very right The Planner namshangaa JOSEPH SHALUWA anavyosema anaandika kutoka kichwani mwake, researcher gani anaandika kutoka kichwani mwake? those are sweeping statements na anashushia hadhi maandiko yake. Binafsi sisomi mtu anayeandika kutoka kichwani mwake maana hizo ni "emotions" zake tu ambazo sio "evidenced based"

 
Mwenye kuelewa aelewe, asiyeelewa abaki hivyo hivyo, ninachokizungumza ni haki za uandishi dunia nzima. Huwezi kuchukua kazi ya mtu bila kutoa credit. Hizi kazi zina hakimiliki.

Mbona hizo kazi zako sisi wengine hatuzijui? ziweke humo angalau mbili au unaongea na baadhi tu ya watu?
 
Kwani unayoyaandika yanasaidia kwa kiasi gani jamii?
 
Mwenye kuelewa aelewe, asiyeelewa abaki hivyo hivyo, ninachokizungumza ni haki za uandishi dunia nzima. Huwezi kuchukua kazi ya mtu bila kutoa credit. Hizi kazi zina hakimiliki.

Kuwa mpole tapeli wa Shigongo hizo zako kama vipi wahi BASATA kasajili upewe hatimiliki naona umeingia na mikwara.
 
Nahiyo hakimiliki amekupa nani?

Mwandishi wa nakala hana uwakilishaji mzuri anaweza akawa ana hoja ila communication skills 0% kabisa.
Atuwekee hatimiliki hapa siyo kutupigia pigia kelele.
humu si magazeti ya rangirangi ya 300
 
Wambie mtafiti washughulishe vichwa waache kupata promo kupitia kazi zako.
 
Mhh!watt bwana kwa kupenda maujiko!usijal utatajwatajwa watu wakufahamu coz ndo unachotaka kulazimisha umaarufu
 
Yani mtu mwenyewe junior member unawapiga mkwara masenior.
Sikiliza wakati wewe unahangaika na marangirangi ya 300 hujapata akili ya kuzirusha humu wenzako walikuwa wanakusaidia kuziweka humu siye wa Damascuss tupate kuzisoma.
Ila wewe ulitakiwa uonyeshe appreciation kwa wao kuzitangaza kazi zako.
si kama ulivyochukulia.
 
Mwenye kuelewa aelewe, asiyeelewa abaki hivyo hivyo, ninachokizungumza ni haki za uandishi dunia nzima. Huwezi kuchukua kazi ya mtu bila kutoa credit. Hizi kazi zina hakimiliki.

mkuu kwa nini usiweke link hapa ya hiizo makala zako zilizoibiwa na kuja kuwekwa hapa???
 
Back
Top Bottom