I'm late here but I'll be happy to help the second problem..
Natumai umehitaji msaada wa kuifanya iwe na speed kama ilivyokuwa awali..!
Kama hujapata solution basi unaweza kutumia njia hii..
Nenda kwenye start
Then, tafuta "run"
Ikifunguka andika "%temp%" bila quotation..
Itafungua ma file mengi.. Then hold Ctrl + A ku highlight yote.. Then
Hold Shift + delete katika keyboard yako, kisha click ok... Or yes
Baadae italeta kijibox, then click "skip"
Baada ya hapo, click start utafute "run" inategemea na windows unayotumia, hapa natumia windows 10.. So hivi ninavyotoa ni kwa windows mara nyingi xp na 7 kwakuwa hata command "run" haipatikani kwenye start kwenye windows 8 and 10
Ukipata run andika "msconfig" hiyo ni "system configuration" click katika boot
Kama kuna windows zaidi ya moja inatumika hapo, futa.. Be careful, futa ambayo haitumiki kwa wakati huo.. Kama itakuletea wasi wasi achana nayo..
Nenda palipoandikwa "services" tick palipoandikwa hide all microsoft services
Then nenda startup ambayo pia inapatikana kwenye "task manager" (kupata task manager tumia shortcut " Ctrl + Shift + Esc" or ctrl + alt + delete
Disable all ambazo ni program ulizoweka na unazifahamu kazi zake, kama vile internet.d.manager(idm) nk
Then; open "my computer" kisha "local disk c" then right click, nenda katika "properties"
Kisha disk clean up
Ukipata tatizo nitafute facebook "Maedson Mahonge"
Mungu na akubariki
Sent from my BlackBerry 10 using JamiiForums