Naomba uhusiano kati ya ukubwa na uimaraMataluma ya Kenya ni makubwa,na yanaonekana kuwa imara zaid ya kwetu,,hivyo basi ,baada ya muda mfupi tu njia yetu itakuwa dhohofu
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona ya kenya inaonekana ni mikubwa na mipana kuliko ya TZ au ni angle ya camera tu?hapo chini ni mataluma ya tz ambapo reli itatandazwa pale juu ni ya kenya waonaje mkuu ipi itadumu ipi inaonekana itahimili mikiki ya safari na uzito wa mizigo n.k
Mkuu, kwa nini hujishughulishi wewe kutafita vipimo? Sawa, nitaweka.kumbe! hebu weka vipimo hapa
Hii ni kutokana na uzi uliopo humu Jf. Maneno haya yaliongewa na mtu wa RAHCO.kumbe! hebu weka vipimo hapa
Unatafuta like kwa nguvu mkuu, hivyo vitu vya kitaaalam ishu za ushabiki, siasa na uzandiki peleka Lumumba na Ufipa kama unania thabiti ya SGR yetu peleka maaabara hizo taruma za Tzie na Kenya utuletee mapovu yako sio porojo hapo.
hili povu ulilo mwaga hapa linatosha kutakasa ufisadi wa wanaojiita untouchables huko chamani. Niache kutafuta pesa nitafute likes?Unatafuta like kwa nguvu mkuu, hivyo vitu vya kitaaalam ishu za ushabiki, siasa na uzandiki peleka Lumumba na Ufipa kama unania thabiti ya SGR yetu peleka maaabara hizo taruma za Tzie na Kenya utuletee mapovu yako sio porojo hapo.
Kwahiyo unataka ujue ili iwejehapo chini ni mataluma ya tz ambapo reli itatandazwa pale juu ni ya kenya waonaje mkuu ipi itadumu ipi inaonekana itahimili mikiki ya safari na uzito wa mizigo n.k
NakaziaHii ni kutokana na uzi uliopo humu Jf. Maneno haya yaliongewa na mtu wa RAHCO.
View attachment 853261
Kuuona uzi kamili BOFYA HAPA.
Hii hapa chini ni kutoka website moja huko Kenya.
View attachment 853263
Nayo unaweza icheki hapa kwa kubofya HAPA. Kisha shuka mpaka sehemu wanasema FACTS ABOUT SGR.
Pia kwa kutumia common sense, Kenya reli yao ni SGR na sisi pia hii ni SGR. Haya sio majina tu ya kuita ili mradi. Ni STANDARDS za kimataifa. Maana yake SGR ya China, ya Dubai, ya Kenya ikija kwenye hizi reli itapita bila tatizo maana viwango mfano vya upana viko sawa. Sio kwamba mtengenezaji wa hizi treni inapokuja kutengeneza au kununua treni kwa ajili ya reli hizi za Tz basi itakuwa ya kipekee sababu ya upana wa reli hii ya Tz eti iko tofauti. Nao ktk utengenezaji wa treni, upana wa 'matairi' ni standard. Sio special order kutokana na upekee wa reli. Reli hizi standard zake kwa nchi zetu lazima zifanane maana miaka ya baadae za kenya zitakuja tz na vise versa na za uganda, rwanda burundi zitakuja huku na vise versa na hizo hizo za kenya zitatoka na kwenda hadi Misri kwa standard hiyo hiyo ya reli.
Hivyo hiyo picha hapo ni angle tu ya mpiga picha. Yaonekana alipopiga Uhuru kamera ilikuwa karibu zaidi.