Pole sana mkuu, ngoja wataalamu wa simu waje watakushauri namna ya kufanya.Salam wadau wote
Ni Hivi simu yangu techno y2 kila nikiizima na kuwasha meseji za zamani zina jirudia yaani kitendo cha kuzima na kuwasha tu meseji za miezi 6 iliyopita zinaingia nimejaribu kureset lakini tatizo linajirudia naombeni ufumbuzi wadau
unatumiaje Tekno????Asee tecno nahisi n tatzo,mm mwnywe nina tatzo hilo yani nkizima cm nkiwasha inanchukua siyo chini ya dk15 meseji ziingie,kitu ambacho kimehatarisha ndoa yangu kwani SMS za michepuko za enzi hzo zinajirudia
😂 😂 😂 😂 tupa iyo isije kulipukaTatizo kipato mkuu kama ningekuwa na pesa nisingenunua tecno