Wataalam wa namba....

Wataalam wa namba....

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,275
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?
 
sh 1 iko kwa baba na mama!

Naendelea kuchanganua bdo kdgo ntapatia.
 
iko kwenye vitu alivyonunua! yaani vitu alivyonunua vina thamani ya sh 97, deni ni sh 98, kwa hiyo anazo sh 2. moja anayo mkononi, nyingine ndiyo hiyo (deni -vitu) yaani (98-97) = 1. kama atauza hivyo vitu at cost, atapata sh 97, akijumlisha na moja aliyonayo inakuwa jumla 98 analipa deni lote lililobaki, anamaliza.

natumaini umenipata mpendwa

ubarikiwe
 
Huwa sifanyi hesabu rahisi kama hizo, lete swali gumu..!
 
iko kwenye vitu alivyonunua! yaani vitu alivyonunua vina thamani ya sh 97, deni ni sh 98, kwa hiyo anazo sh 2. moja anayo mkononi, nyingine ndiyo hiyo (deni -vitu) yaani (98-97) = 1. kama atauza hivyo vitu at cost, atapata sh 97, akijumlisha na moja aliyonayo inakuwa jumla 98 analipa deni lote lililobaki, anamaliza.<br />
<br />
natumaini umenipata mpendwa<br />
<br />
ubarikiwe
<br />
<br />
Karibu upate jitahidi kidogo
 
acha sumbua watu,toa jibu.
uji upo kichwani bado
 
<br />
<br />
Karibu upate jitahidi kidogo
k
itu gani hakijaeleweka hapo mpendwa, deni limepunguzwa kutoka sh 100 hadi 98. kwa hiyo katika 98, vilinunuliwa vitu vya 97 na amebaki na sh 1 mkononi, sasa shi 1 unayoitafuta iko wapi?

ufafanuzi zaidi:

50+50 =100,
100-97-1-1=99 ndiyo uliyopata kwa hesabu zako, jumlisha sh 1 aliyonayo mkononi = 100!

tafakari!

ubarikiwe
 
hyo dola moja ambayo haionekani Alinunulia ice cream akasahau, .
 
k<br />
itu gani hakijaeleweka hapo mpendwa, deni limepunguzwa kutoka sh 100 hadi 98. kwa hiyo katika 98, vilinunuliwa vitu vya 97 na amebaki na sh 1 mkononi, sasa shi 1 unayoitafuta iko wapi?<br />
<br />
ufafanuzi zaidi: <br />
<br />
50+50 =100,<br />
100-97-1-1=99 ndiyo uliyopata kwa hesabu zako, jumlisha sh 1 aliyonayo mkononi = 100!<br />
<br />
tafakari!<br />
<br />
ubarikiwe
<br />
<br />
Bado hujapata Judith
 
Samahani, mimi mwalimu wa hisabati tulikuwa tunapishana mlangoni akiingia darasani mimi nasepa!
 
kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?

Kwa nini unajumlisha (-98) + 1 na kupata 99 ?

Unafanya double discounting/ counting hapo.

Kama katumia sh 97, na kakopa kwa watu wawili, anachodaiwa ni sh 48.5 na kila mmoja, na si sh 49 na kila mmoja.

97/2 = 48.5, not 49.

Tatizo ni illusion ya maneno, ulipogawanya deni lililobaki, uliligawanya kwa 98, na sio 97 kama unavyotakiwa.

Hapa ndipo tofauti ya shilingi moja inapotokea.

QED

Interesting though, tuletee mengine more challenging.
 
Acheki na mwenye duka. Inawezekana hukumrundishia change kamili.
 
Back
Top Bottom