Wataalam wa IT, Programing na Electronics piteni hapa

LEGE

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
5,123
9,168
nataka kufaham ufanyaji kazi wa remote control.ni vipi remote zinafanya kazi na kwanini remote haziwezi kuingiliana ? na wakati remote ina oparate kipi huwa kinfanyika?? na je kwenye saketi ya remote ile chip inayokuwa na data au CODE huwa zile data unaweza kuzisoma na kama inawezekana unaweza kuzisoma kwa njia gani?

kama maswali haya mtanijibu hasa kwa remote za gari itakuwa vizuri zaidi??

na je kuna aina ngapi ya remote??
 
tafuta simu ya htc m7,inafeature ya kuread na kurwite remote infared code.....
code za remote huifadhiwa katika chip (ka AC) (microcontrol). asante

kona miale ya remote infared chukua simu yenye camera na remote elekeza camera upande taa ya remote ilipo kisha bonyeza boton yoyote ya remote utaona code zinavyopassing
 
Mi mnambie why Tv yangu ikiwa off, bado remote inaweza kufanya kazi kwa kuiswitch ON
 
Mi mnambie why Tv yangu ikiwa off, bado remote inaweza kufanya kazi kwa kuiswitch ON

Toa power cable then uliza tena, kuwa off au on wakati power bado iko ni issue ya state of the object(Japo si jibu sahihi sana)
 
nataka kufaham ufanyaji kazi wa remote control.ni vipi remote zinafanya kazi na kwanini remote haziwezi kuingiliana ? na wakati remote ina oparate kipi huwa kinfanyika?? na je kwenye saketi ya remote ile chip inayokuwa na data au CODE huwa zile data unaweza kuzisoma na kama inawezekana unaweza kuzisoma kwa njia gani?

kama maswali haya mtanijibu hasa kwa remote za gari itakuwa vizuri zaidi??

na je kuna aina ngapi ya remote??

hembu funguka basi mkuu nikusome aisee
Hapa nina uhakika alpha1 anahusika zaidi.
Soma uzi huu: Kuhusu Robotics & microcontroller programming
 
Watu naona mnasuasua, hehe wabongo mkiulizwa swali mnabaki kutaja tu topic, mara utasikia "hesabu, programming, C, microcontroller" ok, ila mbona hamjibu swali, au kama huna jibu si bora ukanyamaza tu kuliko kujaza thread ikafika page ya pili bila jibu.

Turudi kwenye mada, ntaelezea kwa kirefu kidogo, remote control zipo za aina nyingi, lakini niongelee hii ambayo wengi mmeizoea inayotumia Infrared light, remote karibia zote zinatumia logic ileile ila utofauti mdogo sana. Kuna kitu kinaitwa binary digit, yaani 0 na 1, hii ndiyo digital signal, analog yaweza kua voltage level yoyote lakini inafanyiwa abstraction na kua 0 au 1, tuseme voltage yoyote chini ya 2.3V ni 0 na juu ya 2.7V ni 1, kutokana na hilo basi unaweza kurepresent data yoyote, unachofanya ni kucheza na voltage tu ili isome unachokitaka, kama ambavyo wewe unahesabu 1 hadi 10 na kurudi 11, kwa binary digit unaanza 0 - 1 - 10 - 11 - 100 - 101 - 110 - 111 na kuendelea. Kupitia hizi namba unaweza represent information flani kua katika binary, mfano herufi 'a' kawaida hua ni 97 ambayo binary yake ni '01100001', kwa hiyo digital devices yoyote inayosoma ascii ikipata hiyo signal inajua hii ni herufi a.

Sasa kwenye remote inakuaje, unapobonyeza namba fulani, kuna kitaa kinakua kinawaka mbele ya remote, hiki kitaa kinawaka na kuzima kwa speed sana huwezi kuona, TV inauwezo wa kujua kua huyu kabonyeza namba fulani kupitia ule mwanga. Mwanga ukiwaka inakua 1, ukizima inakua 0, sasa ili kujua kua ni command kutoka kwenye remote, TV inakua programmed kupokea Start - Command - Stop, code ya start tuseme ni 110110 na ya kustop ni 111001, unapobonyeza remote inaanza kwanza kuwaka na kuzima kwa speed kuanzisha hiyo start command, tv inajua kabisa kua hiyo imetoka kwenye remote yake, then remote inatoa command sasa, kama ni namba au action flani, then inatoa command ya stop, tv inajua kua remote imemaliza kutuma command, alafu ina-execute ile command uliyotoa, kinachoshughulika na execution ni microcontroller, siingii deep zaidi hii inatengenezwaje maana najua hadi hapa kuna watu nilishawaacha kijijini.

Sasa kwa nini remote haziingiliani, sababu ni abstraction, code iliyokua encoded ya "Start-Command-Stop" sio sawa kwenye TV zote, anayetengeneza TV anajiamulia tu na ku-encode hizi commands anavyotaka. Universal remote kawaida hua zimekua encoded na common commands nyingi ndio maana zinaingiliana na tv nyingi, na nyingine ni programmable, ukiipata mara ya kwanza lazima uiset hadi ubahatishe commands zinazofanya kazi kwenye tv yako. Hapo nimekuelezea zinazotumia infrared light, ofcoz kuna njia nyingi sana za kutengeneza remote, hata sound inaweza tumika, cha muhimu ni ku-encode na ku-decode data kirahisi tu.
 
Watu naona mnasuasua, hehe wabongo mkiulizwa swali mnabaki kutaja tu topic, mara utasikia "hesabu, programming, C, microcontroller" ok, ila mbona hamjibu swali, au kama huna jibu si bora ukanyamaza tu kuliko kujaza thread ikafika page ya pili bila jibu.

Turudi kwenye mada, ntaelezea kwa kirefu kidogo, remote control zipo za aina nyingi, lakini niongelee hii ambayo wengi mmeizoea inayotumia Infrared light, remote karibia zote zinatumia logic ileile ila utofauti mdogo sana. Kuna kitu kinaitwa binary digit, yaani 0 na 1, hii ndiyo digital signal, analog yaweza kua voltage level yoyote lakini inafanyiwa abstraction na kua 0 au 1, tuseme voltage yoyote chini ya 2.3V ni 0 na juu ya 2.7V ni 1, kutokana na hilo basi unaweza kurepresent data yoyote, unachofanya ni kucheza na voltage tu ili isome unachokitaka, kama ambavyo wewe unahesabu 1 hadi 10 na kurudi 11, kwa binary digit unaanza 0 - 1 - 10 - 11 - 100 - 101 - 110 - 111 na kuendelea. Kupitia hizi namba unaweza represent information flani kua katika binary, mfano herufi 'a' kawaida hua ni 97 ambayo binary yake ni '01100001', kwa hiyo digital devices yoyote inayosoma ascii ikipata hiyo signal inajua hii ni herufi a.

Sasa kwenye remote inakuaje, unapobonyeza namba fulani, kuna kitaa kinakua kinawaka mbele ya remote, hiki kitaa kinawaka na kuzima kwa speed sana huwezi kuona, TV inauwezo wa kujua kua huyu kabonyeza namba fulani kupitia ule mwanga. Mwanga ukiwaka inakua 1, ukizima inakua 0, sasa ili kujua kua ni command kutoka kwenye remote, TV inakua programmed kupokea Start - Command - Stop, code ya start tuseme ni 110110 na ya kustop ni 111001, unapobonyeza remote inaanza kwanza kuwaka na kuzima kwa speed kuanzisha hiyo start command, tv inajua kabisa kua hiyo imetoka kwenye remote yake, then remote inatoa command sasa, kama ni namba au action flani, then inatoa command ya stop, tv inajua kua remote imemaliza kutuma command, alafu ina-execute ile command uliyotoa, kinachoshughulika na execution ni microcontroller, siingii deep zaidi hii inatengenezwaje maana najua hadi hapa kuna watu nilishawaacha kijijini.

Sasa kwa nini remote haziingiliani, sababu ni abstraction, code iliyokua encoded ya "Start-Command-Stop" sio sawa kwenye TV zote, anayetengeneza TV anajiamulia tu na ku-encode hizi commands anavyotaka. Universal remote kawaida hua zimekua encoded na common commands nyingi ndio maana zinaingiliana na tv nyingi, na nyingine ni programmable, ukiipata mara ya kwanza lazima uiset hadi ubahatishe commands zinazofanya kazi kwenye tv yako. Hapo nimekuelezea zinazotumia infrared light, ofcoz kuna njia nyingi sana za kutengeneza remote, hata sound inaweza tumika, cha muhimu ni ku-encode na ku-decode data kirahisi tu.
mk
Watu naona mnasuasua, hehe wabongo mkiulizwa swali mnabaki kutaja tu topic, mara utasikia "hesabu, programming, C, microcontroller" ok, ila mbona hamjibu swali, au kama huna jibu si bora ukanyamaza tu kuliko kujaza thread ikafika page ya pili bila jibu.

Turudi kwenye mada, ntaelezea kwa kirefu kidogo, remote control zipo za aina nyingi, lakini niongelee hii ambayo wengi mmeizoea inayotumia Infrared light, remote karibia zote zinatumia logic ileile ila utofauti mdogo sana. Kuna kitu kinaitwa binary digit, yaani 0 na 1, hii ndiyo digital signal, analog yaweza kua voltage level yoyote lakini inafanyiwa abstraction na kua 0 au 1, tuseme voltage yoyote chini ya 2.3V ni 0 na juu ya 2.7V ni 1, kutokana na hilo basi unaweza kurepresent data yoyote, unachofanya ni kucheza na voltage tu ili isome unachokitaka, kama ambavyo wewe unahesabu 1 hadi 10 na kurudi 11, kwa binary digit unaanza 0 - 1 - 10 - 11 - 100 - 101 - 110 - 111 na kuendelea. Kupitia hizi namba unaweza represent information flani kua katika binary, mfano herufi 'a' kawaida hua ni 97 ambayo binary yake ni '01100001', kwa hiyo digital devices yoyote inayosoma ascii ikipata hiyo signal inajua hii ni herufi a.

Sasa kwenye remote inakuaje, unapobonyeza namba fulani, kuna kitaa kinakua kinawaka mbele ya remote, hiki kitaa kinawaka na kuzima kwa speed sana huwezi kuona, TV inauwezo wa kujua kua huyu kabonyeza namba fulani kupitia ule mwanga. Mwanga ukiwaka inakua 1, ukizima inakua 0, sasa ili kujua kua ni command kutoka kwenye remote, TV inakua programmed kupokea Start - Command - Stop, code ya start tuseme ni 110110 na ya kustop ni 111001, unapobonyeza remote inaanza kwanza kuwaka na kuzima kwa speed kuanzisha hiyo start command, tv inajua kabisa kua hiyo imetoka kwenye remote yake, then remote inatoa command sasa, kama ni namba au action flani, then inatoa command ya stop, tv inajua kua remote imemaliza kutuma command, alafu ina-execute ile command uliyotoa, kinachoshughulika na execution ni microcontroller, siingii deep zaidi hii inatengenezwaje maana najua hadi hapa kuna watu nilishawaacha kijijini.

Sasa kwa nini remote haziingiliani, sababu ni abstraction, code iliyokua encoded ya "Start-Command-Stop" sio sawa kwenye TV zote, anayetengeneza TV anajiamulia tu na ku-encode hizi commands anavyotaka. Universal remote kawaida hua zimekua encoded na common commands nyingi ndio maana zinaingiliana na tv nyingi, na nyingine ni programmable, ukiipata mara ya kwanza lazima uiset hadi ubahatishe commands zinazofanya kazi kwenye tv yako. Hapo nimekuelezea zinazotumia infrared light, ofcoz kuna njia nyingi sana za kutengeneza remote, hata sound inaweza tumika, cha muhimu ni ku-encode na ku-decode data kirahisi tu.
mkuu shukrani sana kwa kuja na kwa mchango wako na maswali mengi sna lkn naomba niende taratibu sana na usishangae kwa mm kutotumia hizo lugha za programming kwa kuwa sizifaham kbs.

maswali yangu yatakuwa yanalenga haswa kwenye umeme wa magari kwa kuwa ndio fani yangu.

swali.je remote inavyokuwa inafanya kazi mfano kuunlock mlango huwa inatuma hizo signal na control husika inazitambua na kupereka signal kwenye saketi husika na kutoa lock.point yangu au shida yangu ni kuwa je kwenye remote hizo code huwa zinahifadhiwa kwenye CHIP /IC je nawezaje kusoma data zake?? na je naweza kuzi copy kwenye chip nyingine??

swali jingine kwa kuwa kwenye control ndipo huwa kuna pokelewa code zitokazo kwenye remote je kama remote imepotea au kuharibika hakuna uwezekano wa kusoma hizo data ambazo hutumwa na remote ili kuunlock mlango?? mfano ili mlango uweze kufunguka lazima remote itoe code ya 110110 na cotrol ikasha receiver hiyo code ndio inafungua mlango .shida nawezaje kutambua au kusoma kuwa remote hii huwa inatoa code 110110?? au kama remote imepotea siwezi kwenda kwenye control nakusoma hizo code??

mkuu nitashukuru sana ukinijuza kwa hayo ingawa ninayo mengi sana
 
mk

mkuu shukrani sana kwa kuja na kwa mchango wako na maswali mengi sna lkn naomba niende taratibu sana na usishangae kwa mm kutotumia hizo lugha za programming kwa kuwa sizifaham kbs.

maswali yangu yatakuwa yanalenga haswa kwenye umeme wa magari kwa kuwa ndio fani yangu.

swali.je remote inavyokuwa inafanya kazi mfano kuunlock mlango huwa inatuma hizo signal na control husika inazitambua na kupereka signal kwenye saketi husika na kutoa lock.point yangu au shida yangu ni kuwa je kwenye remote hizo code huwa zinahifadhiwa kwenye CHIP /IC je nawezaje kusoma data zake?? na je naweza kuzi copy kwenye chip nyingine??

swali jingine kwa kuwa kwenye control ndipo huwa kuna pokelewa code zitokazo kwenye remote je kama remote imepotea au kuharibika hakuna uwezekano wa kusoma hizo data ambazo hutumwa na remote ili kuunlock mlango?? mfano ili mlango uweze kufunguka lazima remote itoe code ya 110110 na cotrol ikasha receiver hiyo code ndio inafungua mlango .shida nawezaje kutambua au kusoma kuwa remote hii huwa inatoa code 110110?? au kama remote imepotea siwezi kwenda kwenye control nakusoma hizo code??

mkuu nitashukuru sana ukinijuza kwa hayo ingawa ninayo mengi sana

Usichoke kuuliza maswali, unaweza ni-challenge pia ni kitu ambacho na mimi kinanijenga.

Kuhusu kusoma data inayokua transferred ni challenge kwa mtu ambaye hana idea, na yenyewe pia inategemea na technology inayotumika, ila ipo hivi, mfano kwa remote zinazotumia infrared light, unaweza kua na infrared receiver ambayo yenyewe inapokea ule mwanga wa infrared na kudecode. Kwa wanaofahamu microcontroller kama Arduino kuna sensor inauzwa bei chini kama $5 picha yake hii hapa chini

rojKP.jpg

Hiyo sensor unapoint remote yako kwenye hicho ki-semi sphere yenyewe inakupa data in digital format 0 and 1. Sasa ni wewe unaamua tu ufanye nini, mfano unaweza tengeneza remote yako mwenyewe kwa ku-encode kama ilivyo kwenye remote, sensor yoyote yenye uwezo wa kutransmit infrared light signals inaweza kutumika kama remote.

Kwa mtu asiye na idea na programming wala hajawahi kucheza na micro-controllers hiki kitu hatoweza kufanya, ila kwa anayejua ni kitu rahisi sana.

Kuhusu remote za magari sidhani kama wanatumia infrared maana sijawahi ona zenye infrared transmitter, za zamani walikua wanatumia normal radio signals (kama za kwenye radio yako ya kawaida ya fm), pamoja na kua ni analog signal ikifika kwenye gari inabadilishwa na kua digital signal, signals zake hutoweza kuzidaka ili utengeneze ufunguo mwingine kama unavyofanya kwenye remote, hua wanafanyia encryption (ulinzi) ili hata mtu akifanya spoofing (kujaribu kudetect ile signal) asiweze kufanya chochote, hii inazuia mtu yeyote kufoji ufunguo. Magari ya siku hizi wanatumia wireless technologies nyingine kama bluetooth, na kampuni kama Tesla wao gari zao zinaweza kua controlled hata ukiwa mbali sana kupitia internet.
 
Usichoke kuuliza maswali, unaweza ni-challenge pia ni kitu ambacho na mimi kinanijenga.

Kuhusu kusoma data inayokua transferred ni challenge kwa mtu ambaye hana idea, na yenyewe pia inategemea na technology inayotumika, ila ipo hivi, mfano kwa remote zinazotumia infrared light, unaweza kua na infrared receiver ambayo yenyewe inapokea ule mwanga wa infrared na kudecode. Kwa wanaofahamu microcontroller kama Arduino kuna sensor inauzwa bei chini kama $5 picha yake hii hapa chini

rojKP.jpg

Hiyo sensor unapoint remote yako kwenye hicho ki-semi sphere yenyewe inakupa data in digital format 0 and 1. Sasa ni wewe unaamua tu ufanye nini, mfano unaweza tengeneza remote yako mwenyewe kwa ku-encode kama ilivyo kwenye remote, sensor yoyote yenye uwezo wa kutransmit infrared light signals inaweza kutumika kama remote.

Kwa mtu asiye na idea na programming wala hajawahi kucheza na micro-controllers hiki kitu hatoweza kufanya, ila kwa anayejua ni kitu rahisi sana.

Kuhusu remote za magari sidhani kama wanatumia infrared maana sijawahi ona zenye infrared transmitter, za zamani walikua wanatumia normal radio signals (kama za kwenye radio yako ya kawaida ya fm), pamoja na kua ni analog signal ikifika kwenye gari inabadilishwa na kua digital signal, signals zake hutoweza kuzidaka ili utengeneze ufunguo mwingine kama unavyofanya kwenye remote, hua wanafanyia encryption (ulinzi) ili hata mtu akifanya spoofing (kujaribu kudetect ile signal) asiweze kufanya chochote, hii inazuia mtu yeyote kufoji ufunguo. Magari ya siku hizi wanatumia wireless technologies nyingine kama bluetooth, na kampuni kama Tesla wao gari zao zinaweza kua controlled hata ukiwa mbali sana kupitia internet.
mkuu ni hivi mfano ukipoteza funguo ya gari unaweza ukatoa control box au control ya iimobilizer ndani yake kuna kuwa kuna EEPROM ambayo ndio huhifadhiwa data za funguo hivyo kinachofanyika huwa zinasomwa zile data na wana copy kwenye funguo blank key kwa kutumia vifaa husika like tango,zedbull,n.k ambayo funguo huwa na chip ndani yake ambamo ndio hizo redio frequency huhifadhiwa.


swali langu kubwa na point yangu ni kuwa remote inaweza ikawa imeharibika haifanyi kazi lkn ile ic ambamo hizo code huhifadhiwa ikawa nzima je hatuwezi zisoma na kucopy au kuziandika kwenye ic nyingine?? au kama imepotea kbs hatuwezi zisoma kutoka kwenye control ambayo huwa inazipokea code na kuzitafsiri kuwa ni kitendo gani kifanyike?
 
Mi mnambie why Tv yangu ikiwa off, bado remote inaweza kufanya kazi kwa kuiswitch ON
TV yako ikiwa off, haipo off completely inakuwa kwenye standby yani imezima screen na some parts ambizo sio muhimu. Lakini kwenye infrared receiver pamoja na main power board inakuwa iko ON ikisubiri command kutoka kwenye remote control. Ukichomowa TV kwenye socket ya umeme, remote yako haita weza kuwasha TV.
 
mkuu ni hivi mfano ukipoteza funguo ya gari unaweza ukatoa control box au control ya iimobilizer ndani yake kuna kuwa kuna EEPROM ambayo ndio huhifadhiwa data za funguo hivyo kinachofanyika huwa zinasomwa zile data na wana copy kwenye funguo blank key kwa kutumia vifaa husika like tango,zedbull,n.k ambayo funguo huwa na chip ndani yake ambamo ndio hizo redio frequency huhifadhiwa.


swali langu kubwa na point yangu ni kuwa remote inaweza ikawa imeharibika haifanyi kazi lkn ile ic ambamo hizo code huhifadhiwa ikawa nzima je hatuwezi zisoma na kucopy au kuziandika kwenye ic nyingine?? au kama imepotea kbs hatuwezi zisoma kutoka kwenye control ambayo huwa inazipokea code na kuzitafsiri kuwa ni kitendo gani kifanyike?

Mkuu ukipoteza funguo za gari huna option zaidi ya kuiprogram upya, kwa hiyo jibu ni ndiyo inawezekana kutengeneza fungua mpya, utahitaji u-hack imobilizer kuifanya ikubali key mpya. Hii sio DIY project mkuu itahitaji mtaalamu kulifix, maana magari tofauti yanakua na measures tofauti za security, naweza kwambia njia fulani ila ukakuta labda ni ya Toyota ya miaka flani na haitumiki tena, au ya gari tofauti. Unaweza pia kufanya internet search kutafuta specific car model na njia yake ya kupata key mpya.
 
nataka kufaham ufanyaji kazi wa remote control.ni vipi remote zinafanya kazi na kwanini remote haziwezi kuingiliana ? na wakati remote ina oparate kipi huwa kinfanyika?? na je kwenye saketi ya remote ile chip inayokuwa na data au CODE huwa zile data unaweza kuzisoma na kama inawezekana unaweza kuzisoma kwa njia gani?

kama maswali haya mtanijibu hasa kwa remote za gari itakuwa vizuri zaidi??

na je kuna aina ngapi ya remote??
Magari haya ya push to start kila uki lock na ku unlock milango inajiprogram code mpya.
Hivyo code zinabadirika kila ukilock ana ku umlock milango.
 
Mkuu ukipoteza funguo za gari huna option zaidi ya kuiprogram upya, kwa hiyo jibu ni ndiyo inawezekana kutengeneza fungua mpya, utahitaji u-hack imobilizer kuifanya ikubali key mpya. Hii sio DIY project mkuu itahitaji mtaalamu kulifix, maana magari tofauti yanakua na measures tofauti za security, naweza kwambia njia fulani ila ukakuta labda ni ya Toyota ya miaka flani na haitumiki tena, au ya gari tofauti. Unaweza pia kufanya internet search kutafuta specific car model na njia yake ya kupata key mpya.
mkuu hawa wenzetu wanatuchezea sana akili?? mfano ford ranger ya msauth huwa zinasumbua sana ukipoteza ufunguo au ikiferi upande wa immobilizer ipo complicated sana na hakunaga mafundi wanao fauru kutegua mtego wao option huwa inakuwa nikuagiza systerm nzima lkn ukweli ni kuwa mtego wao ni wakibwege sana nyuma ya injector pump kuna control ambayo inapokea signal kutoka kwenye control box ambayo nayo hupokea signal kutoka kwenye control ya immobilizer .sasa cotrol iliyopo nyuma ya pump ikisha pokea mahesabu yote yaliyokamilika ya signal basi huwa inafungua signal ya 12v positive kwenda kwenye switch ya pump .na gari inawaka.

ina maana ukiweza kukikabomoa na kukiondoa kicontrol cha pump kwa kuwa kipo sealed kinaifunika hiyo switch usiweze ifikie kwa uharaka na kama utaipa 12v gari inawaka bila shida.


shida yangu kubwa nikutaka kufaham operation ya hivyo vitu manually kwa sababu kwa kutumia mashine ni rahisi na unakuwa umefichwa zaidi.

ni sawa sawa nakuwasha tv kwa kutumia remote ni rahisi lkn mm nahitaji kufaham ni vipi na nikipi kinafanyika pindi unapo washa tv na remote??

je mkuu unaweza nishauri ni vitu gani natakiwa kuvifaham na kujifunza ili niweze kuwa na uelewa na haya nikuombayo msaada??

MKUU BADO SWALI LANGU NA KIU YANGU HUJAIKATA MKUU SIJUI KAMA UNANIELEWA AU MM NDIO NASHINDWA KUJIELEZA VIZURI.

labda nilivyofaham mm nikuwa kwenye remote huwa kuna kuwa na controller chip yenye miguu 16 na ndimo ambamo huwa kuna kuwa na hizo code 110110110110110 labda ni signal za kuunlock na 1110111011101110 kwaajili ya kulock . na kunakuwa na component nyingine ili kukamilisha saketi ya remote.

mfano hiyo remote imeharibika labda batton zake zimekufa au tufanye imevunjika je kwa kuichukua hiyo controller chip peke yake nataka kusoma hizo code zilizohifadhiwa humo ikiwezekana na kuzi copy kwenye controller chip nyingine??


na je hiyo lugha iliyotumika humo ya hizo code za namba namba huwa haziwezi kusomeka na kupata nn maana kwa lugha ya binadam??

mfano kwenye EEPROM ya kwenye cluster ambamo km za gari zilizotembewa huhifadhiwa huweza kusomwa na kutafsiliwa like 8A 89 DD FF =2690KM kama sijakosea.
 
mkuu hawa wenzetu wanatuchezea sana akili?? mfano ford ranger ya msauth huwa zinasumbua sana ukipoteza ufunguo au ikiferi upande wa immobilizer ipo complicated sana na hakunaga mafundi wanao fauru kutegua mtego wao option huwa inakuwa nikuagiza systerm nzima lkn ukweli ni kuwa mtego wao ni wakibwege sana nyuma ya injector pump kuna control ambayo inapokea signal kutoka kwenye control box ambayo nayo hupokea signal kutoka kwenye control ya immobilizer .sasa cotrol iliyopo nyuma ya pump ikisha pokea mahesabu yote yaliyokamilika ya signal basi huwa inafungua signal ya 12v positive kwenda kwenye switch ya pump .na gari inawaka.

ina maana ukiweza kukikabomoa na kukiondoa kicontrol cha pump kwa kuwa kipo sealed kinaifunika hiyo switch usiweze ifikie kwa uharaka na kama utaipa 12v gari inawaka bila shida.


shida yangu kubwa nikutaka kufaham operation ya hivyo vitu manually kwa sababu kwa kutumia mashine ni rahisi na unakuwa umefichwa zaidi.

ni sawa sawa nakuwasha tv kwa kutumia remote ni rahisi lkn mm nahitaji kufaham ni vipi na nikipi kinafanyika pindi unapo washa tv na remote??

je mkuu unaweza nishauri ni vitu gani natakiwa kuvifaham na kujifunza ili niweze kuwa na uelewa na haya nikuombayo msaada??

MKUU BADO SWALI LANGU NA KIU YANGU HUJAIKATA MKUU SIJUI KAMA UNANIELEWA AU MM NDIO NASHINDWA KUJIELEZA VIZURI.

labda nilivyofaham mm nikuwa kwenye remote huwa kuna kuwa na controller chip yenye miguu 16 na ndimo ambamo huwa kuna kuwa na hizo code 110110110110110 labda ni signal za kuunlock na 1110111011101110 kwaajili ya kulock . na kunakuwa na component nyingine ili kukamilisha saketi ya remote.

mfano hiyo remote imeharibika labda batton zake zimekufa au tufanye imevunjika je kwa kuichukua hiyo controller chip peke yake nataka kusoma hizo code zilizohifadhiwa humo ikiwezekana na kuzi copy kwenye controller chip nyingine??


na je hiyo lugha iliyotumika humo ya hizo code za namba namba huwa haziwezi kusomeka na kupata nn maana kwa lugha ya binadam??

mfano kwenye EEPROM ya kwenye cluster ambamo km za gari zilizotembewa huhifadhiwa huweza kusomwa na kutafsiliwa like 8A 89 DD FF =2690KM kama sijakosea.
kwa ufupi tunaweza kusema inawezekana kusoma contents za controller 1 na kuzihamishia kwenye controller nyingine kupitia ICSP pins lakini hii itakupa machine language tu na sio source code.. changamoto inakuja pale utakapokuta hiyo controller ipo code protected
 
LEGE bado upo hai? shida nini kaka unataka kuwa mkali katika umeme wa magari jitahidi ndugu si mchezo nowday magari yana viongezi vingi sana vya teknolojia, piga kozi ya electronics kuwa mtafiti sumbua ubongo chokonoa chokonoa ikiwezekana piga hata shoti gari ya mtu.
 
Back
Top Bottom