Wataalam wa IT, Programing na Electronics piteni hapa

Wataalam wa IT, Programing na Electronics piteni hapa

nataka kufaham ufanyaji kazi wa remote control.ni vipi remote zinafanya kazi na kwanini remote haziwezi kuingiliana ? na wakati remote ina oparate kipi huwa kinfanyika?? na je kwenye saketi ya remote ile chip inayokuwa na data au CODE huwa zile data unaweza kuzisoma na kama inawezekana unaweza kuzisoma kwa njia gani?

kama maswali haya mtanijibu hasa kwa remote za gari itakuwa vizuri zaidi??

na je kuna aina ngapi ya remote??


Hapa kuna Field kama tatu/au mbili inabidi uzifahamu vizuri
1.Electronics
2.Telecomunications
3.Computer Engineering

Kwenye Remote(Transimiter) kuna Sensor inaitwa IR sensor ambayo ina traminsimit signal ambazo zinakuwa na "Certain instruction" TV(Receiver) yako inapopokea zile signal inavisoma na kujua maana yake then it does what it supposed.

Kuhusu codes sidhani kama hata ukiziona you can Understand them, Codes zinazowekwa kwenye Microcontroller au Microcontroller ni HEX or ELF..., unachotakiwa kujua either C au Assembly...

But Remote control is one of easiest thing to make kwa Kipindi hiki
 
mkuu hawa wenzetu wanatuchezea sana akili?? mfano ford ranger ya msauth huwa zinasumbua sana ukipoteza ufunguo au ikiferi upande wa immobilizer ipo complicated sana na hakunaga mafundi wanao fauru kutegua mtego wao option huwa inakuwa nikuagiza systerm nzima lkn ukweli ni kuwa mtego wao ni wakibwege sana nyuma ya injector pump kuna control ambayo inapokea signal kutoka kwenye control box ambayo nayo hupokea signal kutoka kwenye control ya immobilizer .sasa cotrol iliyopo nyuma ya pump ikisha pokea mahesabu yote yaliyokamilika ya signal basi huwa inafungua signal ya 12v positive kwenda kwenye switch ya pump .na gari inawaka.

ina maana ukiweza kukikabomoa na kukiondoa kicontrol cha pump kwa kuwa kipo sealed kinaifunika hiyo switch usiweze ifikie kwa uharaka na kama utaipa 12v gari inawaka bila shida.


shida yangu kubwa nikutaka kufaham operation ya hivyo vitu manually kwa sababu kwa kutumia mashine ni rahisi na unakuwa umefichwa zaidi.

ni sawa sawa nakuwasha tv kwa kutumia remote ni rahisi lkn mm nahitaji kufaham ni vipi na nikipi kinafanyika pindi unapo washa tv na remote??

je mkuu unaweza nishauri ni vitu gani natakiwa kuvifaham na kujifunza ili niweze kuwa na uelewa na haya nikuombayo msaada??

MKUU BADO SWALI LANGU NA KIU YANGU HUJAIKATA MKUU SIJUI KAMA UNANIELEWA AU MM NDIO NASHINDWA KUJIELEZA VIZURI.

labda nilivyofaham mm nikuwa kwenye remote huwa kuna kuwa na controller chip yenye miguu 16 na ndimo ambamo huwa kuna kuwa na hizo code 110110110110110 labda ni signal za kuunlock na 1110111011101110 kwaajili ya kulock . na kunakuwa na component nyingine ili kukamilisha saketi ya remote.

mfano hiyo remote imeharibika labda batton zake zimekufa au tufanye imevunjika je kwa kuichukua hiyo controller chip peke yake nataka kusoma hizo code zilizohifadhiwa humo ikiwezekana na kuzi copy kwenye controller chip nyingine??


na je hiyo lugha iliyotumika humo ya hizo code za namba namba huwa haziwezi kusomeka na kupata nn maana kwa lugha ya binadam??

mfano kwenye EEPROM ya kwenye cluster ambamo km za gari zilizotembewa huhifadhiwa huweza kusomwa na kutafsiliwa like 8A 89 DD FF =2690KM kama sijakosea.


Ooops kumbe naweza nikaanza kukaa na Mafundi magari and we can make something...

Huwa na aamini Electronics sio Ngumu kama Software
 
Ngoja tupate elimu, hapa kuwaona ndugu zetu ngumu sana, ila ingelikuwa mambo kunuka, vibamia aaaaaah! Wangeshindana
 
Msaada jamani kwa yeyote anaefahamu link nzuri ya kujifunza programming online..
 
Mkuu bado napambana mpaka kieleweke mzee sema ndio hivyo bongo na tanzania kwa ujumla tupo kizani sanaa ndio maana mambo yanazidi kuwa magumu
LEGE bado upo hai? shida nini kaka unataka kuwa mkali katika umeme wa magari jitahidi ndugu si mchezo nowday magari yana viongezi vingi sana vya teknolojia, piga kozi ya electronics kuwa mtafiti sumbua ubongo chokonoa chokonoa ikiwezekana piga hata shoti gari ya mtu.
 
Back
Top Bottom