Wataalam wa electrical appliances malizeni ubishi

Adm

Senior Member
Sep 19, 2010
149
45
Kuna mada moja iliibuka na wahusika hawakufikia muafaka. Mzozo ulikuwa juu ya kifaa kipi kinatumia umeme mwingi zaidi pale kinapowashwa na kuanza kutumika. Je ni tv ya inch 21 au ile ya inch 14? Ama vyote "vinakula" kiasi sawa cha umeme? Experty answers please and not experiencial ones, naomba kuwasilisha
 
Kuna mada moja iliibuka na wahusika hawakufikia muafaka. Mzozo ulikuwa juu ya kifaa kipi kinatumia umeme mwingi zaidi pale kinapowashwa na kuanza kutumika. Je ni tv ya inch 21 au ile ya inch 21? Ama vyote "vinakula" kiasi sawa cha umeme? Experty answers please and not experiencial ones, naomba kuwasilisha

Weka maelezo vizuri Tv ya inc 21 au ile ya inch 21? ndo tuelewe kipi??
 
Kila kifaa cha umeme kinaandikwa matumizi yake ya umeme kwa nyuma so Inategemea na aina ya tv zenyewe

Mfano unazungumzia sony za toleo moja ila tofauti ni ukubwa tu basi zitakula umeme sasa

Lakini kama toleo ni tofauti zinaweza kupisha maana moja inaweza ika na function nyingi zaidi ya nyingine zinazotumia umeme zaidi
Na hii haijalishi kubwa tu ndio itaweza kula umeme zaidi, wakati mwingine vimeo vya zamani nchi14 vinakula umeme zaidi ya nch21 za sasa nk
 
inategemea na voltage rating ya kifaa husika..zote zinaweza zikawa za size moja but manufactured from different locations with different voltage rating hence different power consumption!! That's just my quick thinking...!!
 
Bidhaa za Germany huwa ni voltage ndogo zaidi, but kwa swali lako hapo inategemea na Functions za kifaa. Yawezekana zote kuwa sawa inategemea.
 
Kuna mada moja iliibuka na wahusika hawakufikia muafaka. Mzozo ulikuwa juu ya kifaa kipi kinatumia umeme mwingi zaidi pale kinapowashwa na kuanza kutumika. Je ni tv ya inch 21 au ile ya inch 14? Ama vyote "vinakula" kiasi sawa cha umeme? Experty answers please and not experiencial ones, naomba kuwasilisha

Swali lako haliwezi kujibika kitaalamu kwani hakuna taarifa za kitaalamu ulizoweka. Ila acha nijaribu kukueleza jinsi utumikaji wa umeme ulivyo katika vifaa vya umeme.

Kwa kifupi tuu kifaa chochote cha umeme kiinakuwa kimeainishwa nguvu (power) inayotumia kujiendesha. Na kizio (SI unit) cha nguvu(power) huwa ni watt(w) ama Voltampers(VA). Kadri jinsi kifaa kitumiavyo watts/VA nyingi, ndivyo ulaji wa umeme wa kifaa husika unavyokuwa mkubwa.
 
Swali lako haliwezi kujibika kitaalamu kwani hakuna taarifa za kitaalamu ulizoweka. Ila acha nijaribu kukueleza jinsi utumikaji wa umeme ulivyo katika vifaa vya umeme.

Kwa kifupi tuu kifaa chochote cha umeme kiinakuwa kimeainishwa nguvu (power) inayotumia kujiendesha. Na kizio (SI unit) cha nguvu(power) huwa ni watt(w) ama Voltampers(VA). Kadri jinsi kifaa kitumiavyo watts/VA nyingi, ndivyo ulaji wa umeme wa kifaa husika unavyokuwa mkubwa.

Asante kwa maelezo yako
 
Back
Top Bottom